kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
Inakua complete kama tool tu..sema utatakiwa kuinstall na drivers ili simu ziweze kua detected na hiyo toolaaaaaa so hii uki download ina kuuwa ni complite kabisa si ndio au
Inakua complete kama tool tu..sema utatakiwa kuinstall na drivers ili simu ziweze kua detected na hiyo toolaaaaaa so hii uki download ina kuuwa ni complite kabisa si ndio au
aaaa thanksInakua complete kama tool tu..sema utatakiwa kuinstall na drivers ili simu ziweze kua detected na hiyo tool
Ulifanikiwaaaaa?Msaada nataka kuflash Tecno F1 kwenye sp flash tools inaleta huo ujumbe kwenye pichaView attachment 1462789
Ukiona hivi ujue preloader iliyoopo kwenye firmware hai match na iliyopo kwenye simu, Yaani kwa lugha rahisi tuseme build number ya ROM unayotaka kuflash haiendani na inayotakiwa...Msaada nataka kuflash Tecno F1 kwenye sp flash tools inaleta huo ujumbe kwenye pichaView attachment 1462789
Issue hapa ni drivers tu... Sidhani kama kipindi unachomeka simu yako ili install drivers zake, ukiona hivyo simu haitaki kuinstall drivers zake kwenye mashine just press power button tu kuforce tukio kama simu haiwaki kabisa, Kama ina uhai press vol +/-..Broo naona imezingua km utanisaidia nikuletee binafsi nimekwama asee inaleta hivi babu View attachment 1465682
Baada ya ku Install hii, haifunguki, shida itakua nini?View attachment 1632150
hiii hapa ni complete yote...
Google Drive - Virus scan warning
docs.google.com
Baada ya ku Install hii, haifunguki, shida itakua nini?
Hiyo niliyo download kwenye link ya Google Drive hapo juu(Setup_Miracle_Thunder_Edition_3.09) haina Loader, ni Setup peke akeUnaifungua kwa staili gani? Maana hiyo ina loader yake ndo unatakiwa ui run
Hiyo niliyo download kwenye link ya Google Drive hapo juu(Setup_Miracle_Thunder_Edition_3.09) haina Loader, ni Setup peke ake
Sawa, asanteHiyo itakuwa set up ya box tafuta crack yake huko google
Waungwana kwema humu.
Nina samsung s6,ilidondoka.
Baada ya kudondoka nikaitumia kawaida tu,shida ikaanz baada ya kuisha charg.
Nikiweka charg haionyeshi kama inapandisha moto ile kwa % ,inaonesha alama tu kama inaingiza.
Baada ya muda kidogo inaleta alama ya pembe tatu ,ile ya warning.
Leo nmeiacha kwenye moto ikifanya hivyo kwa muda mrefu,nilipowasha ikawaka ikamaliza lakini haikukaa ikazima.
Je tatizo itakua ni nini wajuzi wa mambo,na kama matengenezo basi fundi ajitokeze nimpelekee
Shukran mkuuPole kwa changamoto, tafadhari onana na fundi wa karibu yako akubadilishie betri shida yako itaisha.
Ngoja waje