Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 298
Hawa mafisadi wamekamata kila angle. Hata hao TCRA sio ajabu wamewekwa mfukoni mwa hao mafisadi kama serikali ya JK ilivyowekwa humo.
Mkuu,
Rostam ni balaa, ni jangili na maafia wa nguvu. Jamaa kahakikisha anakamata kila idara nyeti. Habari toka chanzo cha uhakika zinasema kuwa hata mkuu wa usalama wa taifa yuko mfukoni mwake pia.