Wakuu salaam,
Wengi tulichukizwa na utawala wa magufuli ajili ya kuminya demokrasia na kutozingatia utawala wa sheria, bt kwa kiasi fulani tuliridhika na walivyodhibitiwa mafisadi.
ajabu awamu ya 6 mafisadi wamerudi kwa speed, na za ndani kabisa wana kauli mbiu ya MAKE MAFISADI GREAT AGAIN(MAMAGA) watakayoitumia kulitafuna taifa watakavyo, kama taifa tunapitia wakati mgumu sana na bahati mbaya hatujapata kiongozi wa kutuvusha.
Wengi tulichukizwa na utawala wa magufuli ajili ya kuminya demokrasia na kutozingatia utawala wa sheria, bt kwa kiasi fulani tuliridhika na walivyodhibitiwa mafisadi.
ajabu awamu ya 6 mafisadi wamerudi kwa speed, na za ndani kabisa wana kauli mbiu ya MAKE MAFISADI GREAT AGAIN(MAMAGA) watakayoitumia kulitafuna taifa watakavyo, kama taifa tunapitia wakati mgumu sana na bahati mbaya hatujapata kiongozi wa kutuvusha.