kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Mfano ukiwa na nia ya kuanzisha biashara wapi pazuri kwenda kufanyia biashara? Naomba kwa wazoefu wanipe ufafanuzi maana dar nimegoma kwenda kabisa kule no.
Asante sana mkuu. Ngoja tuone wengine wanasemaje.Iringa mjini biashara zote zinafaa kwa wageni, kutokana na uwepo wa vyuo vikuu kadhaa na pia mchanganyiko wa watu. Ila ukienda Mafinga, biashara kubwa ni ya mbao.
Mkuu, all in allIringa mjini biashara zote zinafaa kwa wageni, kutokana na uwepo wa vyuo vikuu kadhaa na pia mchanganyiko wa watu. Ila ukienda Mafinga, biashara kubwa ni ya mbao.
Hahaha sawa mkuu wewe uko pande zipi?Mkuu, all in all
Mafinga panamzunguko mkubwa wa pesa kuliko iringa mjini....
Kwann mkuu, mbona unatutishaMafinga ukifika hata usipoloweka mahali wee vaa kinga kokote uendako just in case😁😁😁
MafingaMfano ukiwa na nia ya kuanzisha biashara wapi pazuri kwenda kufanyia biashara? Naomba kwa wazoefu wanipe ufafanuzi maana dar nimegoma kwenda kabisa kule no.
Mimi ni kama radar Leo nipo dar kesho iringa kesho kutwa mbeya next week mwanza na hayo ndio maisha yanguHahaha sawa mkuu wewe uko pande zipi?
mafingaMfano ukiwa na nia ya kuanzisha biashara wapi pazuri kwenda kufanyia biashara? Naomba kwa wazoefu wanipe ufafanuzi maana dar nimegoma kwenda kabisa kule no.