Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Roho ya mauti ina mambo ya jinga sana. Inakuvuta mdogo mdogo hadi waingia kingiHapo ndipo utajua siku zao zilikuwa zimefika, maana kama walimuona na baadaye akapotea/kunasa wavuni kisha jamaa wakazamia kufuatilia wavu kumbe kifo kilikuwa kinawaita.