mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Hawakupata samaki ila walipatwa na samakiPole mkuu.
Na samaki wamepata?
Hawakupata samaki ila walipatwa na samakiPole mkuu.
Na samaki wamepata?
AaminPoleni sana ndugu zangu wa Tumbuji, wazee wa dagaa.
Mungu awalaze pema peponi marehemu wavuvi.
Aluta kontinua!
Visu walikuwa navyo hata sisi hatuelewi kwanini hawakukata nadhani kasi ya samaki ile kwenda mbio sana hawakutegemea
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kilindoni, dongo, ndagoni, tumbuju, kirongwe, jojo, Benjamin na beni bila kusahau KangaHabari zenu wakuu
Leo nina majonzI sana baada ya wavuvi watatu kupoteza maisha kisiwani Mafia ambao katika bandari ya Tumbuju, wavuvi hao walikuwa kwenye boti wakielekea kuvua kwa kutumia nyavu za kupingia.
Baada ya kufika bahari wakatosa nyavu zao na baadhi wakateremka ili kupingia samaki waweze ingia kwenye nyavu sasa kwa bahati mbaya ndani ya nyavu aliingia samaki mkubwa na baadhi ya wavuvi ndio walishikilia nyavu samaki alipoona kazongwa na nyavu ndo akaamua atumie nguvu ili kijihami kuelekea bahari kuu ndipo akaondoka kwa nguvu sana.
Akaondoka na nyavu pamoja na wavuvi watatu ambao walizingirwa na nyavu ila baadae walionekana baada ya kutafutwa na wote washazikwa tayari, samaki anaitwa Potwe.
jamaa atakua anazinguaUko serious kweli
Wakati sisi tunasoma kiswahili wewe ulikuwa unacheza ukuti ukutiR.I.P wavuvi, ila sorry sijaelewa hapo inamaana huyo samaki kawapiga hao wavuvi? Au kawazamisha kina kirefu? Bahari kuu vipi wakati walikua baharini pia?
😀😀😀 umenikumbusha ukuti ukuti jamani. Sasa wewe ulielewa kilichowaua ni nini mkuu?Wakati sisi tunasoma kiswahili wewe ulikuwa unacheza ukuti ukuti
Huwa wanakuwa wakubwa urefu futi 9 na zaidi, mwili wote ni misuli tupuHuyo samaki ana ukubwa kiasi gan?
Hata Mimi sijui😀😀😀 umenikumbusha ukuti ukuti jamani. Sasa wewe ulielewa kilichowaua ni nini mkuu?
Walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa
Duh! kweli hao samaki ni wakubwa, inabidi gobore lihusike wakati wa kuwavuaHuwa wanakuwa wakubwa urefu futi 9 na zaidi, mwili wote ni misuli tupu