Mafia Island Marine Park, moja ya vivutio ambavyo Watanzania hatujui kama tunavyo

mngony

JF-Expert Member
Jul 27, 2012
5,193
6,381
caught-up-whale-shark-being-freed.jpg
whaleshark_verticalfeeding_on_fish_P1110781.jpg
RacoonButterflyfish.jpg
51d1305aee53095ea0be673ae3100f01.jpg
marine-life-mafia-island.jpg
GIANTPOT.jpg
mafia-island-diving-dive-center.jpg
images (2).jpg
yellow-fin_tuna.jpg
angel-fish.jpg
Mafia-Island-Snorkeling-1024x684.jpg
sejour-plongee-mafia-island-zanzibar-M-J61.jpg
corals-fish.jpg
africa-tanzania-mafia-hotels-kinasi-lodge-diving-lobsters.jpg
IMG_0516.jpg
divecentre-638258cc46a6ff73780b0535f13b537af136d21c.jpg
Scuba-Diving-in-Mafia-Island.jpg
Mafia-Island-Lodge-diving2.jpg
IMG_1482-2.jpg
africa_tanzania_dive_mafia_island_shutterstock_whaleshark_thumbnail.jpg
 
Napenda kinyama scuba diving...sanaaa. Nilitaka kumpeleka wife for our honeymoon..dah akakataa
 
Tunajua vivutio vingi sana zaidi ya hivyo sema mifuko yetu watanzania haina kitu, mimi hata mikumi tu nimeijua Jana wakati nakuja dar kwenye harusi ya ndugu yangu baada ya kulipiwa nauli
 
jamaa wanajichukulia tu species adimu duniani sisi walaa tumepiga zetu usingizi
 
Daa, yaani nimeona hizo picha nikaona uchungu na kujionea huruma. Nilikuwa sijui kama kuna samaki wenye rangi tofauti na nyeusi, kumbe wako mpaka wenye rangi kama zile wadada siku hizi wanapakwa kwenye kucha wamekaa chini kule mjini?
 
Tunajua vivutio vingi sana zaidi ya hivyo sema mifuko yetu watanzania haina kitu, mimi hata mikumi tu nimeijua Jana wakati nakuja dar kwenye harusi ya ndugu yangu baada ya kulipiwa nauli

Vya nchi kavu angalau, watu wanaenda enda, kishule kifalimia, kiofisi n.k hata kama mtu hajaenda lakini simba anamjua, akisikia yupo mikumi kidogo inaleta picha kichwani. Sasa hao samaki kwanza mpaka uweze ku dive, uende chini ndio uone kisha ukipiga picha ndio wakina sie tuone.. sasa michezo ya ku dive kwa waafrika hatupendi sijui hatuwezi au hatujajenga interest lakini imepita kushoto
 
Daa, yaani nimeona hizo picha nikaona uchungu na kujionea huruma. Nilikuwa sijui kama kuna samaki wenye rangi tofauti na nyeusi, kumbe wako mpaka wenye rangi kama zile wadada siku hizi wanapakwa kwenye kucha wamekaa chini kule mjini?

Wapo wengi sana , zaidi ya kwenye hizo picha
 
Yaani kwenye mbuga tu waTanzania hatuendi ndio twende kwenye maji? Kweli Mungu atusaidie
 
Watanzania hatuna disposable income mapato yetu ni hand to mouth sana sana mtu ajinyime ajenge nyumba na kununua gari na vihela vya bia basi. Pia mtanzania na diving wapi na wapi labda hii generation ya "english medium schools" wanaopelekwa kuogelea kila ijumaa na shule zao.
 
Back
Top Bottom