Mafao ya usafiri -terminal banefits

Mafao ya usafiri -terminal banefits

Kichikapua

Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
11
Reaction score
2
Ndugu wanajamvi

mimi nemeachishwa kazi baada ya kamuni yetu kufunga virago hapa Tanzania. naomba mtu anisaidie jinsi ya ku calculate fedha za usafiri kurudi mahali nilipokuwa kabla ya ajira. je kuna government circular ya jinsi ya ku calculate fedha kwa ajili ya kusafirisha vifaa vyangu
 
Back
Top Bottom