sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia.
Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada.
Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa vibaya mno katika sehemu nyingi kuanzia biashara, burudani na hata elimu tabaka ambalo limeelimika kuzidi tabaka lolote, hawa wazungu wamepigwa kanzu.
Sasa hii ishu inawaumiza sana Wamarekani wazawa weusi ambao wengi wao hata shule zimeenda kushoto, ndoto zao mara nyingi huwa wanamichezo, waimbaji, waigizaji, n.k.
Kwa mawazo yangu naona Wamarekani weusi wasipokaza basi huu ndio utakuwa mwanzo wa anguko lao, ikumbukwe Waziri wa Fedha wa saizi wa Marekani ni Mnaijeria aliyezaliwa Naijeria.
Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada.
Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa vibaya mno katika sehemu nyingi kuanzia biashara, burudani na hata elimu tabaka ambalo limeelimika kuzidi tabaka lolote, hawa wazungu wamepigwa kanzu.
Sasa hii ishu inawaumiza sana Wamarekani wazawa weusi ambao wengi wao hata shule zimeenda kushoto, ndoto zao mara nyingi huwa wanamichezo, waimbaji, waigizaji, n.k.
Kwa mawazo yangu naona Wamarekani weusi wasipokaza basi huu ndio utakuwa mwanzo wa anguko lao, ikumbukwe Waziri wa Fedha wa saizi wa Marekani ni Mnaijeria aliyezaliwa Naijeria.