Mkuu usiwe unakurupuka. Mpaka nimecomment jua ninajua anachofanya. Kaweka insta account yake nimeenda nimeona ni developer wa apps. Kwanza hata kabla ya kwenda insta computer yake inaonyesha yuko kwenye development environment sijui ni android studio hiyo.
So usitoe maneno ya shombo sijui mtumbwi wakati wewe ndiye hujui.