nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Naam mipango na matumizi pia nidhamu.....huwa thabiti pale unapokuwa huna kitu yaani kabla hujashika fedha.
Lakini pindi fedha inapokuwa mkononi ile mipango yooote ile nidhamu yooote na ile listi ya matumizi uliyoipamga mwenyewe,,,wewe mwenyewe ndio unaibomoa...
Hii ni namna ya utaalamu wako wa kuwaza mambo makubwa bila kuwa na mbinu na mikakati ya kutekeleza jambo hilo ...mfano una kiwanja lakini hupigi hatua hata ya kwenda kukiangalia ...unapanga biashara lakini waaapiii.....ujiaonavyo ndivyo ulivyo,,,,lakini unakuwa mwepesi kukamata glass ya kinywaji mamaaaaaa. kufungua zip zipu zipuuushhhhh.
Hiyo ni nguvu hasi ya kiroho na kiwango finyu cha kufikiri uchache wako ndio picha uliyomo.........
usipotumia muda wako kufikiri,,,,watu watakusaidiwa kufikiri juu ya maisha yako..........
Lakini pindi fedha inapokuwa mkononi ile mipango yooote ile nidhamu yooote na ile listi ya matumizi uliyoipamga mwenyewe,,,wewe mwenyewe ndio unaibomoa...
Hii ni namna ya utaalamu wako wa kuwaza mambo makubwa bila kuwa na mbinu na mikakati ya kutekeleza jambo hilo ...mfano una kiwanja lakini hupigi hatua hata ya kwenda kukiangalia ...unapanga biashara lakini waaapiii.....ujiaonavyo ndivyo ulivyo,,,,lakini unakuwa mwepesi kukamata glass ya kinywaji mamaaaaaa. kufungua zip zipu zipuuushhhhh.
Hiyo ni nguvu hasi ya kiroho na kiwango finyu cha kufikiri uchache wako ndio picha uliyomo.........
usipotumia muda wako kufikiri,,,,watu watakusaidiwa kufikiri juu ya maisha yako..........