Mafanikio na uhuru wa fedha, Kufeli au Kufaulu.

Elimubomba

Senior Member
Jul 27, 2017
111
46
Maisha ya mafanikio na uhuru wa fedha ni jambo linalotafutwa na kila mmoja wetu, lakini ni wachache mno huwa wanafanikiwa. Hii ni kwa sababu kuna wanaotaka na wanaotamani mafanikio na uhuru wa fedha. Mara zote watu wanaotaka mafanikio na uhuru wa fedha hujituma kwelikweli ili kufikia uhuru huo wa kifedha wakati wanaotamani mara zote hutafuta njia rahisi na za mkato za kufanikiwa.

MATOKEO
Wanaotaka: Mafanikio hujitokeza
Wanaotamani: Kufeli kukubwa kusiko na matarajio
Take your side!
 
Fact...big up chief...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…