Mafanikio katika Maisha hayana siri

Mafanikio katika Maisha hayana siri

Nipe kipimo cha mafanikio mkuu..
Kipimo cha mafanikio ni pale unapofikia malengo yako. Kama umejiwekea malengo kadhaa mf. Kumaliza shule, Kupata kazi, Kujenga na kadhalika kama utavyokuwa umejiwekea mwenyewe, basi ukishayatimiza malengo hayo tunaweza kusema umefanikiwa. Kila mtu ana kipimo chake cha mafanikio kulingana na malengo aliyojiwekea.
But always AIM HIGHER.
Asante.
 
Namba ya nini tena yani lazima unataka kuleta mambo ya Qnet
 
Watu wengi wanadhani kua na pesa nyingi na za ziada ndio kipimo cha mafanikio. I say NO. Mie nimefanikiwa sana. Nina afya tele. Mke mzuri na tunaelewana sana. Watoto wetu wamemaliza vyou. Tuna nyumba yetu. Tunafuga. Chakula cha kutosha. Tuna usafiri wetu japo mara nyingi twatumia dala dala. What more can a man want ? Mamilioni nikose usingizi au pombe na malaya na maradhi. Think twice
 
Watu wengi wanadhani kua na pesa nyingi na za ziada ndio kipimo cha mafanikio. I say NO. Mie nimefanikiwa sana. Nina afya tele. Mke mzuri na tunaelewana sana. Watoto wetu wamemaliza vyou. Tuna nyumba yetu. Tunafuga. Chakula cha kutosha. Tuna usafiri wetu japo mara nyingi twatumia dala dala. What more can a man want ? Mamilioni nikose usingizi au pombe na malaya na maradhi. Think twice
Sasa huyo mke na watoto utawatunzaje bila ya pesa, nyumba,gari ,elimu kuwasomesha hao watoto wako mpaka chuo kikuu unajua kuna wengine wanashindwa kuendelea na elimu sababu wazazi awana pesa ,afya ya wewe na familia yako yote endapo mtaumwa mutaenda vipi hospital bila ya pesa

Arafu unasema mafanikio sio pesa nakati vitu ulivyotaja vyote vinaitaji pesa usijifanye mjuaji

Rejelea kitabu cha rich dad poor dad, wewe nakuweka kundi la poor dad kwasabu unapumbaza watu
 
Sasa huyo mke na watoto utawatunzaje bila ya pesa, nyumba,gari ,elimu kuwasomesha hao watoto wako mpaka chuo kikuu unajua kuna wengine wanashindwa kuendelea na elimu sababu wazazi awana pesa ,afya ya wewe na familia yako yote endapo mtaumwa mutaenda vipi hospital bila ya pesa

Arafu unasema mafanikio sio pesa nakati vitu ulivyotaja vyote vinaitaji pesa usijifanye mjuaji

Rejelea kitabu cha rich dad poor dad, wewe nakuweka kundi la poor dad kwasabu unapumbaza watu
Well said. Hiyo ni dozi nzuri sana. Yeye anaona kafanikiwa ila jamii inaona bado.
 
Back
Top Bottom