Mr Gratitude
Member
- Aug 8, 2020
- 45
- 64
Habari zenu wana JamiiForums.
Mimi ni mzaliwa wa hapa dar es salaam lakini sio mtu wa kwenda mahali bila kua na misheni maalumu, napata tabu kwa kushindwa kujua maeneo gani tulivu ambayo siku nikizikamata hela au nikiwa na manzi mkali mwenye shepu matata naweza kwenda kuchill kwa mana ya kupata msosi mzuri, vinywaji ikiwezekana location ya kwenda kuchakata ile kitu yetu inayotufanya tuijaze dunia.
Naomba raman wadau
Mimi ni mzaliwa wa hapa dar es salaam lakini sio mtu wa kwenda mahali bila kua na misheni maalumu, napata tabu kwa kushindwa kujua maeneo gani tulivu ambayo siku nikizikamata hela au nikiwa na manzi mkali mwenye shepu matata naweza kwenda kuchill kwa mana ya kupata msosi mzuri, vinywaji ikiwezekana location ya kwenda kuchakata ile kitu yetu inayotufanya tuijaze dunia.
Naomba raman wadau