Wakubwa tuache unafiki huu wa kipumbavu. Nikiwa nina maana hii:
1. Nani hajui kuwa hii nchi ilifikia mahali ambapo haiwezi kulinganishwa na nchi nyingine yoyote ile hapa DUNIANI kutokana na UOZO MTUPU!
2. Hata angekuja mtu kutoka sijui wapi nikiwa na maana kutoka katika chama chochote cha siasa hataweza kufanya chochote bila kuondoa kwanza UOZO HUU
3. Ukweli unauma ila lazima tukubali kuwa hatua ambazo Mhs Rais alianza nazo ni sahihii kabisa.Kwa yule anayekataa ni MNAFIKI tu.
4. Kwa wale wanaojiita sijui Prof au Dr inabidi waache kufanya taaluma zao zionekane kama zinaweza kununuliwa gurioni. Hapa kila kitu kinaeleweka ni wapi pana dosari au panakwenda sawa. Haitakiwi kuwa na hizo titles ili kujua ni wapi pana kosa pamoja na UOZO.
5. Kwa kifupi Mhs Rais amefanya vizuri katika kutafuta maendeleo sahihi na endelevu ya nchi yetu. Anayekataa akatae kwa sababu zake za KINAFIKI ila ukweli ni HUO. Tunamuombea asonge mbele na tunazidi kumuombea.
6. Kama Mhs Rais anaweza akakosea hiyo isiwe sababu ya kufuta yale mengi mazuri anayofanya. ikumbukwe kuwa (An error is no longer a mistake if it can be corrected). Nikiwa na maana swala la mikutano bado linajadiriwa na hilo halijawa kosa kwani bado kuna correction kabla ya tarehe 1.09.2016
Mwisho, kwa wale wenye vichwa vya ajabu njooni muanze kunitukana. Ila kumbuka kuwa ukweli ni huo. Mhs Rais anafanya vizuri kwani nchi ilikuwa imejaa UOZO kwani jina jingine nashindwa kulitamka. Hakuna kiongozi yeyote anaweza kuiokoa nchi yetu bila kupitia njia alizo anza nazo mhs Rais. Ni ukweli na hata kama UNAUMA
Wenu
Wabuyaga nikielekea Stockholm Sweden.
1. Nani hajui kuwa hii nchi ilifikia mahali ambapo haiwezi kulinganishwa na nchi nyingine yoyote ile hapa DUNIANI kutokana na UOZO MTUPU!
2. Hata angekuja mtu kutoka sijui wapi nikiwa na maana kutoka katika chama chochote cha siasa hataweza kufanya chochote bila kuondoa kwanza UOZO HUU
3. Ukweli unauma ila lazima tukubali kuwa hatua ambazo Mhs Rais alianza nazo ni sahihii kabisa.Kwa yule anayekataa ni MNAFIKI tu.
4. Kwa wale wanaojiita sijui Prof au Dr inabidi waache kufanya taaluma zao zionekane kama zinaweza kununuliwa gurioni. Hapa kila kitu kinaeleweka ni wapi pana dosari au panakwenda sawa. Haitakiwi kuwa na hizo titles ili kujua ni wapi pana kosa pamoja na UOZO.
5. Kwa kifupi Mhs Rais amefanya vizuri katika kutafuta maendeleo sahihi na endelevu ya nchi yetu. Anayekataa akatae kwa sababu zake za KINAFIKI ila ukweli ni HUO. Tunamuombea asonge mbele na tunazidi kumuombea.
6. Kama Mhs Rais anaweza akakosea hiyo isiwe sababu ya kufuta yale mengi mazuri anayofanya. ikumbukwe kuwa (An error is no longer a mistake if it can be corrected). Nikiwa na maana swala la mikutano bado linajadiriwa na hilo halijawa kosa kwani bado kuna correction kabla ya tarehe 1.09.2016
Mwisho, kwa wale wenye vichwa vya ajabu njooni muanze kunitukana. Ila kumbuka kuwa ukweli ni huo. Mhs Rais anafanya vizuri kwani nchi ilikuwa imejaa UOZO kwani jina jingine nashindwa kulitamka. Hakuna kiongozi yeyote anaweza kuiokoa nchi yetu bila kupitia njia alizo anza nazo mhs Rais. Ni ukweli na hata kama UNAUMA
Wenu
Wabuyaga nikielekea Stockholm Sweden.