MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
My take kwa uchunguzi wa bomu hili unavyoendelea;
Uchunguzi huu unazunguka tu wagonjwa na viongozi wa chadema
Hii ni dalili kubwa kwamba huu sio uchunguzi bali ni jitihada za kuficha uhalifu,
Huwezi kusema tukio limetokea toka juzi na hadi leo polici wanahangaika kutafuta wagonjwa na wabunge kuwapeleka mahakamani, wakati mhalifu wanamjua vizuri na ni kipenzi chao.
Bora turudishe jeshi la sungusungu, hili linaweza kuwa na nizamu zaidi. Arusha morani wanatosha kuilinda. Hakuna haja ya kuwa na chombo cha umma kinachofanya kazi ya kuua watu huku viongozi wakubwa kama waziri mkuu akishangilia kwa kazi njema.
Je kwa kauli ya Pinda, nyuma ya pazia yawezekana jamaa wanaandaa promotion ya aliyemaliza kazi aliyotumwa huku wakijishughulisha kumlinda asifahamike?
Uchunguzi huu unazunguka tu wagonjwa na viongozi wa chadema
Hii ni dalili kubwa kwamba huu sio uchunguzi bali ni jitihada za kuficha uhalifu,
Huwezi kusema tukio limetokea toka juzi na hadi leo polici wanahangaika kutafuta wagonjwa na wabunge kuwapeleka mahakamani, wakati mhalifu wanamjua vizuri na ni kipenzi chao.
Bora turudishe jeshi la sungusungu, hili linaweza kuwa na nizamu zaidi. Arusha morani wanatosha kuilinda. Hakuna haja ya kuwa na chombo cha umma kinachofanya kazi ya kuua watu huku viongozi wakubwa kama waziri mkuu akishangilia kwa kazi njema.
Je kwa kauli ya Pinda, nyuma ya pazia yawezekana jamaa wanaandaa promotion ya aliyemaliza kazi aliyotumwa huku wakijishughulisha kumlinda asifahamike?