Maendeleo ya uchunguzi wa bomu la Arusha

Maendeleo ya uchunguzi wa bomu la Arusha

MWANA WA UFALME

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2010
Posts
578
Reaction score
144
My take kwa uchunguzi wa bomu hili unavyoendelea;

Uchunguzi huu unazunguka tu wagonjwa na viongozi wa chadema

Hii ni dalili kubwa kwamba huu sio uchunguzi bali ni jitihada za kuficha uhalifu,

Huwezi kusema tukio limetokea toka juzi na hadi leo polici wanahangaika kutafuta wagonjwa na wabunge kuwapeleka mahakamani, wakati mhalifu wanamjua vizuri na ni kipenzi chao.

Bora turudishe jeshi la sungusungu, hili linaweza kuwa na nizamu zaidi. Arusha morani wanatosha kuilinda. Hakuna haja ya kuwa na chombo cha umma kinachofanya kazi ya kuua watu huku viongozi wakubwa kama waziri mkuu akishangilia kwa kazi njema.

Je kwa kauli ya Pinda, nyuma ya pazia yawezekana jamaa wanaandaa promotion ya aliyemaliza kazi aliyotumwa huku wakijishughulisha kumlinda asifahamike?
 
wanahubiri maendeleo lakini hawajui kuwa pesa zilizopo hapa Tanzania ukizichanganya na uhuru wa watu na haki ya kuhoji mambo yapatiwe majibu hatuna haja ya misaada!
Wenyewe wanaona raha kupoteza muda na pesa ili kuficha hizo variables za maendeleo na mafanikio. Tutawalaumu viongozi sana lakini mwishowe tutagundua kuwa viongozi waliwekwa hapo na sisi (hata kama ni kwa nguvu) hivyo tujilaumu wenyewe kwa kutochukua hatua yoyote au kuwaunga mkono wanochukua hatua!
 
wanahubiri maendeleo lakini hawajui kuwa pesa zilizopo hapa Tanzania ukizichanganya na uhuru wa watu na haki ya kuhoji mambo yapatiwe majibu hatuna haja ya misaada!
Wenyewe wanaona raha kupoteza muda na pesa ili kuficha hizo variables za maendeleo na mafanikio. Tutawalaumu viongozi sana lakini mwishowe tutagundua kuwa viongozi waliwekwa hapo na sisi (hata kama ni kwa nguvu) hivyo tujilaumu wenyewe kwa kutochukua hatua yoyote au kuwaunga mkono wanochukua hatua!

Misaada ndio inayotufikisha hapa., Ukicheka na nyani utavuna mabua
 
Uchunguzi ni kila mtu bila kujali chama, mgonjwa, kwani mbona watu wanajilipua huko uarabun
 
My take kwa uchunguzi wa bomu hili unavyoendelea;

Uchunguzi huu unazunguka tu wagonjwa na viongozi wa chadema

Hii ni dalili kubwa kwamba huu sio uchunguzi bali ni jitihada za kuficha uhalifu,

Huwezi kusema tukio limetokea toka juzi na hadi leo polici wanahangaika kutafuta wagonjwa na wabunge kuwapeleka mahakamani, wakati mhalifu wanamjua vizuri na ni kipenzi chao.

Bora turudishe jeshi la sungusungu, hili linaweza kuwa na nizamu zaidi. Arusha morani wanatosha kuilinda. Hakuna haja ya kuwa na chombo cha umma kinachofanya kazi ya kuua watu huku viongozi wakubwa kama waziri mkuu akishangilia kwa kazi njema.

Je kwa kauli ya Pinda, nyuma ya pazia yawezekana jamaa wanaandaa promotion ya aliyemaliza kazi aliyotumwa huku wakijishughulisha kumlinda asifahamike?

How old are you?
 
CCM ni chama cha magaidi. Mwigulu Nchemba alisema kuwa tusipoichagua CCM tutakufa, baada ya muda mfupi CCM wakarusha bomu kwenye mkutano wa CDM na mrushaji akakimbizwa na Polisi.
 
Last edited by a moderator:
.....hata leo ktk mahojiano yao kati ya Polisi na viongozi wakuu wa CDM (Mbowe na Lema), kubwa zaidi kwa upande wa polisi itakuwa kutaka kujua viongozi wa CDM wana ufahamu kiasi gani juu ya ukweli wa kilichotendeka na siyo uchunguzi ili wajipange jinsi ya kujihami kwa upande wao(polisi)
Kwa ushauri wangu, wangekomaa tu bila kutoa huo ushahidi. Kitakachotokea ni wao kuwekwa ndani ili wapelekwe mahakamani na ndiyo wakatoe ushahidi huko. Kwa wale wanojua kusoma gestures language, ni dhahiri kuwa hili swala limeshawakoroga polisi wenyewe( haswa jana alipokuwa akiongea Chagonja kwenye taarifa ya habari ya ITV). Anaonekana hana hakika, lakini pia kushindwa kutoa msimamo wa polisi juu ya jambo lenyewe.
Mbowe na Lema wanatakiwa kuwa werevu zaidi wanapoongea na hao polisi kuepuka mazingira yeyote ya kutoa huo ushahidi.
Hayo ni maoni yangu!
 
.....hata leo ktk mahojiano yao kati ya Polisi na viongozi wakuu wa CDM (Mbowe na Lema), kubwa zaidi kwa upande wa polisi itakuwa kutaka kujua viongozi wa CDM wana ufahamu kiasi gani juu ya ukweli wa kilichotendeka na siyo uchunguzi ili wajipange jinsi ya kujihami kwa upande wao(polisi)
Kwa ushauri wangu, wangekomaa tu bila kutoa huo ushahidi. Kitakachotokea ni wao kuwekwa ndani ili wapelekwe mahakamani na ndiyo wakatoe ushahidi huko. Kwa wale wanojua kusoma gestures language, ni dhahiri kuwa hili swala limeshawakoroga polisi wenyewe( haswa jana alipokuwa akiongea Chagonja kwenye taarifa ya habari ya ITV). Anaonekana hana hakika, lakini pia kushindwa kutoa msimamo wa polisi juu ya jambo lenyewe.
Mbowe na Lema wanatakiwa kuwa werevu zaidi wanapoongea na hao polisi kuepuka mazingira yeyote ya kutoa huo ushahidi.
Hayo ni maoni yangu!

Kwa mara nyingi ccm huwa wanaongea kwa ujanja ujanja tu, ndio mana sio lazima uwe na elimu kuwaongoza au kuwashauri. Kwa vitu jamaa wanavyosema na kufanya, ni kama wanakuwa wameamkia kwa mganga wa kienyeji ndio wanakuja kuzungumza.
 
bomu la Arusha FBI itawajua tu njoja Obama atue kwanza na aje atuambie amani nayoisema iko wapi?
 
Uchunguzi mufilisi lazima uleteleze majibu mufilisi hiyo ni sheria ya asili lazima tokeo la kitu liwe na uasili kwa namna moja au nyindine na chembechembe za cha za chanzo chake yaani ni kama genes na DNA..na ndiyo maana tunaambiwa mtoto wa nyoka ni nyoka tu
Nauita uchunguzi mifilisi kwa sababu umejaa upendeleo na haujatoa uwazi wa suala kuangaliwa katika pande zote na mpaka sasa ni upande mmoja tu ndio unaoandamwa na kwa mantiki hiyo lazima majibu yafuate muandamo ulipo na hapa ndipo kwenye zao mufilisi la uchunguzi,kama ni kauli chafu kabla ya tukio au kauli ambazo zinaweza kuhusishwa kwa namna moja au nyingine na sula hilo zilitolewa na viongozi wote namaanisha viongozi wa CCM na wale wa CDM waliokuwa wakihutubia katika kampeni hizo zilizoishi kuzaa uvujifu wa amani.
Majibu yatakuwa ni yale yale mepesi ya CDM wanahusika na kiitikio chake ni CCM wanahusika na kwa majibu hayo tulizoweshwa kwa kila tukio chafu nchini sulihisho sahihi la matatizo yetu hatutakaa tulipate na utakuwa ni mwendelezo wa siasa chafu tu wala hakuna la zaidi ya hapo.
Nimefanya uchunguzi mdogo nikabaini mpaka leo ni wanachama kama milioni tisa tu ambao wameandikishwa kama wanachama katika vyma hivi viwili vya siasa yaani CCM na CDM ambapo kulingana na takwimu za mwezi wa pili mwaka huu CDM walikuwa lna wanachama laki mbili200000 na CCM ina wanachama milioni sita 6000000 lakini kutokana na operesheni sangara na M4C chadema sasa inasemekana ina wana chama milioni tatu3000000hivyo tunapata jumla hiyo ya wanachama milioni tisa sasa swali la kujiuliza ni je Tanzania ina watuwangapi?jibu ni watu44,928,923 kulingana na National Bureau of Statistcs2012 na tukiangalia tunagundua ni 0.2%ya Watanzania ndio wapo wanachama ndani ya CCM na pia CDM achilia mbali wale wanaohama vyama na wanaokufa hapa utagundua kuwa asalaimia hiyo inaweza kupungua zaidi.
Nimevitumia vyama hivyo kama mfano kwa sababu ndivyo vinavyoonekan vinanguvu hapa Nchini ila bado hata kama tukijumlisha na vyama vingine vilivyopo vyote kufikisha1% bado itakuwa ni kazi mno kumbe kuna asolimia 99% ya umma wa watanzania ambao wao ni mashabiki tu na kwa maana hiyo Tanzania ni zaidi ya CCM na CDM...
Umma haujawahi kushindwa hata siku moja kwa maana hiyo amani na utulivu wa nchi yetu,utatuzi wa matatizo yetu siyo CCM wala siyo CDM ila ni sisi(mimi,wewe,yule na wote kwa pamoja).
 
Back
Top Bottom