Yani ni kweli kabisa hali ya sasa si hali angalau married people tunaaminiana,,ila pia sio kwenye hizi hotels maana unaweza ukarekodiwa bila kujijua
Sio wote mkuu japo wanaume ni kawaida enuTena nyie ndiyo wahanga wakubwa kwa haya....mnaaminiana kijino pembe mkitoka nyumbani kila mmoja wenu anawaza namna ya kumcheat mwenzake.
Ya Le Kokobanga nayakumbuka but guess what though? The sky didn’t fall and the muthafcuka is still living his life.
Sawa, watu walicheka kwa siku mbili tatu and life went on.
Bottom line is, if you have trust issues then don’t venture away from your principal place of abode.
Duu sijaelewa kitu
Nalimhola ghete nkema amu, Nitawasalimia wote mpaka Kishinda, mwabaruhi na iponya makarai, iponya madako, tabaruka, mwanyege na busisiDelagawiza Bayo Ulimhola?Wasalimie Nzera,tunyenye,nyampande
Sio wote mkuu japo wanaume ni kawaida enu
Unaona ulivyonogesha mkuu, mambo ya wikienda ni kama hivyo. Ila picha ya kwanza ndio kafaidi. Style inampa access ya nonino kwa urahisi zaidiAa wapi hujaona ya Muriro garden Kenya View attachment 776201View attachment 776202View attachment 776203View attachment 776204