Tanzania imefikia wakati hatuwezi kutegemea wasomi au viongozi kwa kuendeleza nchi yetu bali mungu tu!. Ukiangalia vizuri
(1) Kilimo kinategemea mvua ambayo inabidi tumuombe mungu kwasababu hakuna mikakati ya misingi ya kilimo cha umwagiliaji. Kilimo kwanza ni deal za watu za matrekta lakini hakuna jitihada za kufundisha wananchi umwagiliaji. Mvua isikonyesha tunaomba mungu na misaada kwa nchi kubwa.
(2) Umeme: Umeme wetu unategemea sala ili mungu alete mvua kwasababu pesa ya genereta zimeliwa na viongozi na shirika ka Tanesco linaenda kwa hasara
(3)Shule: Kama ujasali vizuri siku ya mtihani wa form six au four mbona utakuwa hatarini kwasababu elimu yetu inategemea mtihani moja tu.
(4)Afya: Tanzania ukipata heart attack huko kijijini huwezi kupona! hii inatisha sana hatuna fire, hatuwezi kufanya upasuaji kitu kilichobakia ni kusali!
Kuna mengi ndugu zangu kama mikataba n.k lakini nchi yetu inaenda kwa uwezo wa mwenyezi mungu tu!
(1) Kilimo kinategemea mvua ambayo inabidi tumuombe mungu kwasababu hakuna mikakati ya misingi ya kilimo cha umwagiliaji. Kilimo kwanza ni deal za watu za matrekta lakini hakuna jitihada za kufundisha wananchi umwagiliaji. Mvua isikonyesha tunaomba mungu na misaada kwa nchi kubwa.
(2) Umeme: Umeme wetu unategemea sala ili mungu alete mvua kwasababu pesa ya genereta zimeliwa na viongozi na shirika ka Tanesco linaenda kwa hasara
(3)Shule: Kama ujasali vizuri siku ya mtihani wa form six au four mbona utakuwa hatarini kwasababu elimu yetu inategemea mtihani moja tu.
(4)Afya: Tanzania ukipata heart attack huko kijijini huwezi kupona! hii inatisha sana hatuna fire, hatuwezi kufanya upasuaji kitu kilichobakia ni kusali!
Kuna mengi ndugu zangu kama mikataba n.k lakini nchi yetu inaenda kwa uwezo wa mwenyezi mungu tu!