Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,053
Wana-JF Bukoba,
Naomba mnisaidie. Nimetafakari kwa kina juu ya mchango wa Mbunge wa Bukoba Mjini ili nipate jibu na kisha nichukue hatua ya ama kupongeza au kukosoa lakini kwa bahati mbaya kichwa kimeshindwa kuload muafaka! Nafsi imebishana na akili na vimeshindwa kufikia muafaka. Sasa nimeamua kuomba msaada kwa wapigakura wenzangu wa BK Town wanaotembelea hapa JF.
Naomba mnisaidie kuorodhesha mambo ya maendeleo aliyotufanikisha Mh. Kagasheki kama Mbunge na si yeye kama yeye. Naomba watu nuweke kando kupenda kulikopitiliza ambako ni sawa na upofu na wala msiwe wepesi wa kuorodhesha madhaifu bali mazuri yaliyoonekana katika kutokea kwa mabaya.
Ombi la Pili naomba mtazamo wenu; Kati ya Mayor wa BK Municipality na Mbunge wa Bukoba Mjini nani Mwanamaendeleo wa kweli na mtekelezaji wa vitendo?
Naomba uzi huu usinajisiwe na matusi kwa Mayor wala Mbunge. Tutoe maoni au tuchangie katika mkondo chanya. Tunatakiwa kuijenga Bukoba kwa kasi na si kuzidisha nyufa za uharibifu.
cc: KAUDO, NAM, qq.com, Ericus Kimasha, mwanamwana, Mugizi, Muganyizi, figganigga, Mathias Byabato, koku, Rutashubanyuma, Kaa la Moto, rutta, Money stunna, Somoche, Bishanga, Ta Muganyizi, Ben Mugashe, PrN-kazi, Katikomile, chitambikwa, Adoe,Wieka, jrrugy, Lowenstern, Kandambilimbili, Kenge (Eng), RUGAHIMBILA E R, Mzee2000, simeu, RUTAJUMBUKIRWA, Inviolata, Bujibuji, Mzee Kibiongo, Kaitaba, Kaa la Moto, Asprin, edwinito, Kisusi Mohammed, Naumia, Charuka, Baba_Enock, Domo Kaya, Kashaija, Iza, Sajenti, Domo Kaya, Rugas, Son of Alaska, Binti Maringo, Tiba, Charuka, Katoma, Ustaadh, Omutwale, Rwey, Kyakya, SONGEA, Bishanga, Sir, Robweme, Pelle mza, Kyemba, bakuza, Bigaraone, Chaimaharage, evoddy, Gagnija, Hagga, Jaji, james chapacha, Kagalala, Kaitampunu, kanyagio, Kibera, Lonestriker, Mkomamanga, MPIGA ZEZE, MUGUNDA, naivasha, Ngeleshi, PrN-kazi, Qixima mQiqa, RUBERTS, Rwamarungu, Rweza, sangija, Seneta,mukama talemwa,Speedy, timbilimu, Tukundane, Yakuza,rugumisa,GALIMA,BigTime,Kakalende,PrN-kazi, Alexism+, kilikiliani,kanyagio,BUSHAIJABWE, Libaba, Smarty, Baba Collins,Eddy M, BUBE, Tata, KASHOROBANA, Ambassador, Audax, Natasha Ismail, rushaka, charles RMD, Mutensa, nickson,amrikamala, Akami, King of Kings, katelero, ngonzi zomukama, KABAZI, mayenga, Adili, Madenge, MOMO, itembajr, giraffe, zacha, Gsana, Miruko, kuberwa, KakaKiiza, Novatus, Omukuru, naivasha, Bukyanagandi, Mtumishi Wetu, timbilimu, Leonard Robert, Ta Muganyizi, luckman, sembuli, bakuza, ruttashobolwa,Baija Bolobi, Rutunga M,
Naomba mnisaidie. Nimetafakari kwa kina juu ya mchango wa Mbunge wa Bukoba Mjini ili nipate jibu na kisha nichukue hatua ya ama kupongeza au kukosoa lakini kwa bahati mbaya kichwa kimeshindwa kuload muafaka! Nafsi imebishana na akili na vimeshindwa kufikia muafaka. Sasa nimeamua kuomba msaada kwa wapigakura wenzangu wa BK Town wanaotembelea hapa JF.
Naomba mnisaidie kuorodhesha mambo ya maendeleo aliyotufanikisha Mh. Kagasheki kama Mbunge na si yeye kama yeye. Naomba watu nuweke kando kupenda kulikopitiliza ambako ni sawa na upofu na wala msiwe wepesi wa kuorodhesha madhaifu bali mazuri yaliyoonekana katika kutokea kwa mabaya.
Ombi la Pili naomba mtazamo wenu; Kati ya Mayor wa BK Municipality na Mbunge wa Bukoba Mjini nani Mwanamaendeleo wa kweli na mtekelezaji wa vitendo?
Naomba uzi huu usinajisiwe na matusi kwa Mayor wala Mbunge. Tutoe maoni au tuchangie katika mkondo chanya. Tunatakiwa kuijenga Bukoba kwa kasi na si kuzidisha nyufa za uharibifu.
cc: KAUDO, NAM, qq.com, Ericus Kimasha, mwanamwana, Mugizi, Muganyizi, figganigga, Mathias Byabato, koku, Rutashubanyuma, Kaa la Moto, rutta, Money stunna, Somoche, Bishanga, Ta Muganyizi, Ben Mugashe, PrN-kazi, Katikomile, chitambikwa, Adoe,Wieka, jrrugy, Lowenstern, Kandambilimbili, Kenge (Eng), RUGAHIMBILA E R, Mzee2000, simeu, RUTAJUMBUKIRWA, Inviolata, Bujibuji, Mzee Kibiongo, Kaitaba, Kaa la Moto, Asprin, edwinito, Kisusi Mohammed, Naumia, Charuka, Baba_Enock, Domo Kaya, Kashaija, Iza, Sajenti, Domo Kaya, Rugas, Son of Alaska, Binti Maringo, Tiba, Charuka, Katoma, Ustaadh, Omutwale, Rwey, Kyakya, SONGEA, Bishanga, Sir, Robweme, Pelle mza, Kyemba, bakuza, Bigaraone, Chaimaharage, evoddy, Gagnija, Hagga, Jaji, james chapacha, Kagalala, Kaitampunu, kanyagio, Kibera, Lonestriker, Mkomamanga, MPIGA ZEZE, MUGUNDA, naivasha, Ngeleshi, PrN-kazi, Qixima mQiqa, RUBERTS, Rwamarungu, Rweza, sangija, Seneta,mukama talemwa,Speedy, timbilimu, Tukundane, Yakuza,rugumisa,GALIMA,BigTime,Kakalende,PrN-kazi, Alexism+, kilikiliani,kanyagio,BUSHAIJABWE, Libaba, Smarty, Baba Collins,Eddy M, BUBE, Tata, KASHOROBANA, Ambassador, Audax, Natasha Ismail, rushaka, charles RMD, Mutensa, nickson,amrikamala, Akami, King of Kings, katelero, ngonzi zomukama, KABAZI, mayenga, Adili, Madenge, MOMO, itembajr, giraffe, zacha, Gsana, Miruko, kuberwa, KakaKiiza, Novatus, Omukuru, naivasha, Bukyanagandi, Mtumishi Wetu, timbilimu, Leonard Robert, Ta Muganyizi, luckman, sembuli, bakuza, ruttashobolwa,Baija Bolobi, Rutunga M,