Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Sina uhakika kama kuna thread hii tayari, lakini nilikuwa nawaza; Kwa nini Tanzania tunashindwa kupiga hatua za maendeleo?
Moja ya jibu nililoweza kupata ni serikali kutofadhili wasomi. Mara nyingi katika nchi zilizoendelea, serikali zinatoa pesa kwa vyuo kwa kusudi la research. Mifano hai hii hapa: Stanford, Princeton, Cambridge, nk.
Research hii inasaidia kuangalia matatizo na hata kutafuta solution ya hayo matatizo yanayokumba jamii na nchi kwa ujumla.
Tatizo ninaloliona Tanzania (kwa maoni yangu) ni watu wengi kuenda nje ya nchi kwa ajili ya research. Tatizo la mtindo huu ni hizo research kutokuwa 'targetted' katika maendeleo ya nchi yetu.
Kwa nini serikali zisingeboresha hili jambo? Kama huu ufadhili upo, je unapatikanaje? Ni open process au ndo ile ya kibongo kwa rushwa na upendeleo?
Pia publication ya hizo research inafanyika na kwa uwazi kiasi gani? Au ndio zinakusanya vumbi tu? Nadhani siasi zimekithili sana nchi zetu kuliko utendaji.
Wanajamii mnaonaje hilo?
Moja ya jibu nililoweza kupata ni serikali kutofadhili wasomi. Mara nyingi katika nchi zilizoendelea, serikali zinatoa pesa kwa vyuo kwa kusudi la research. Mifano hai hii hapa: Stanford, Princeton, Cambridge, nk.
Research hii inasaidia kuangalia matatizo na hata kutafuta solution ya hayo matatizo yanayokumba jamii na nchi kwa ujumla.
Tatizo ninaloliona Tanzania (kwa maoni yangu) ni watu wengi kuenda nje ya nchi kwa ajili ya research. Tatizo la mtindo huu ni hizo research kutokuwa 'targetted' katika maendeleo ya nchi yetu.
Kwa nini serikali zisingeboresha hili jambo? Kama huu ufadhili upo, je unapatikanaje? Ni open process au ndo ile ya kibongo kwa rushwa na upendeleo?
Pia publication ya hizo research inafanyika na kwa uwazi kiasi gani? Au ndio zinakusanya vumbi tu? Nadhani siasi zimekithili sana nchi zetu kuliko utendaji.
Wanajamii mnaonaje hilo?