Imphuvyi
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 224
- 151
Habari wananzengo,,
Naomba kwa wenye uwezo wa kufikisha taarifa kwa wahusika wawaambie waliangalie upya swala la maendeleo kwa vijana wa taifa hili. Unakuta kijana Ana taaluma nzuri tu, lakini hana mtaji.
Akienda kutaka msaada kwenye asasi za mikopo kigezo namba moja ni Awe na Mali isiyohamishika hapo inazungumziwa nyumba.
Sasa jamani kijana ndio kwanza ametoka shule, shule yenyewe alisoma kwa mkopo, hiyo nyumba anaitoa wapi??
Wenye sauti tusaidieni kuwasilisha hoja.
Naomba kwa wenye uwezo wa kufikisha taarifa kwa wahusika wawaambie waliangalie upya swala la maendeleo kwa vijana wa taifa hili. Unakuta kijana Ana taaluma nzuri tu, lakini hana mtaji.
Akienda kutaka msaada kwenye asasi za mikopo kigezo namba moja ni Awe na Mali isiyohamishika hapo inazungumziwa nyumba.
Sasa jamani kijana ndio kwanza ametoka shule, shule yenyewe alisoma kwa mkopo, hiyo nyumba anaitoa wapi??
Wenye sauti tusaidieni kuwasilisha hoja.