mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,607
- 1,596
- Thread starter
- #41
Una hoja wewe, Tundulisu ameshawavuruga vichwa.Ni mwenye UFINYU wa akili tu anayeweza kuandika upuuzi kama huu. Dr Slaa Dr Slaa huyo ni MPUUZI mwingine aliyekubali kumpokea fisadi lowassa Chadema hadi alipotimuliwa na hawara yake ndiyo akili ikamkaa kichwani. Toa UZWAZWA wako hapa.
Unakumbuka aliekua anamsindikiza Lowasa kwenye kampeni za 2015 ni nani?