Maendeleo hayana Chama, nini maana tafsiri yake?

Tumekua tukimsikia mara nyingi Mh Rais Magufuli akisema maendeleo hayana Chama,
Ila je ni wangapi wanaojua maana ya maneno hayo?

niseme tu kwamba kuna watu wachache sana wanapotosha maneno hayo. "maendeleo hayana chama" anayopenda kuyatumia Mh Raisi Magufuli kwa makusudi au kwa kutokujua.

Maana ya maneno " maendeleo hayana Chama ni kwamba" hata kama wewe una mapenzi na Chama kingine tofauti na CCM ila maendeleo anayofanya Mh Raisi Magufuli mfano

Miundombinu ya Usafiri kama Barabara, Madaraja, Meli, Ndege, Treni n.k watu wa vyama vyote watatumia.

Pia kuna miundombinu ya Afya aliyojenga Mh Raisi Magufuli kama Hospitali, Zahanati n.k pia watatumia watu wa vyama vyote.

Miundombinu ya Elimu kama Mikopo ya vyuo vikuu, Elimu bure kwa Shule za Sekondari na Msingi n.k hivyo vyote wanafuika ni watu wa vyama vyote.

Nimejaribu kuandika kwa kifupi ili ieleweke.
Magufuli mitano tena (2020-2025)
Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli.
Unajikanyaga tu ukijaribu kuhalalisha contradicting statement. Mbona hujatoa mfano anaposema hawezi kupeleka maendeleo kwenye jimbo linaloongozwa na upinzani. Hapo pia maendeleo hayana chama??
 
Tumekua tukimsikia mara nyingi Mh Rais Magufuli akisema maendeleo hayana Chama,
Ila je ni wangapi wanaojua maana ya maneno hayo?

niseme tu kwamba kuna watu wachache sana wanapotosha maneno hayo. "maendeleo hayana chama" anayopenda kuyatumia Mh Raisi Magufuli kwa makusudi au kwa kutokujua.

Maana ya maneno " maendeleo hayana Chama ni kwamba" hata kama wewe una mapenzi na Chama kingine tofauti na CCM ila maendeleo anayofanya Mh Raisi Magufuli mfano

Miundombinu ya Usafiri kama Barabara, Madaraja, Meli, Ndege, Treni n.k watu wa vyama vyote watatumia.

Pia kuna miundombinu ya Afya aliyojenga Mh Raisi Magufuli kama Hospitali, Zahanati n.k pia watatumia watu wa vyama vyote.

Miundombinu ya Elimu kama Mikopo ya vyuo vikuu, Elimu bure kwa Shule za Sekondari na Msingi n.k hivyo vyote wanafuika ni watu wa vyama vyote.

Nimejaribu kuandika kwa kifupi ili ieleweke.
Magufuli mitano tena (2020-2025)
Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli.
Stop!
 
Mfano kwenye jimbo unajua kuna asilimia ngapi ya wapiga kula ? Tuseme wote18+ wapige je wale ambao hakupiga kula tuseme watoto hao wanakosa gani la kutopelekewa Maendeleo

Mtu wa namna hiii si wa kutetea kabisa
Nimefafanua vizuri kwamba kuna miradi ya Kitaifa, Kimkoa, Kijimbo, Kiwilaya n.k
Hivyo watoto watanufaika na miradi ya Kitaifa, Kimkoa, Wilaya n.k
Watoto kukosa miradi ya kijimbo ni kosa la wazazi wao sio Magufuli.
Hivyo jitahidi kutoa elimu hii ili wananchi wapate maendeleo timilifu

Magufuli mitano tena (2020-2025)
 
Unajikanyaga tu ukijaribu kuhalalisha contradicting statement. Mbona hujatoa mfano anaposema hawezi kupeleka maendeleo kwenye jimbo linaloongozwa na upinzani. Hapo pia maendeleo hayana chama??
Umekua mgumu sana kuelewa,
Nimekwambia kuna miradi ya Kitaifa, Kimkoa, Kiwilaya, Kijimbo n.k

Hivyo chagua wewe unataka miradi ya aina gani unapopiga jura.

msimpe lawama Magufuli kuhusu kutekeleza miradi, huo ni msimamo wake
 
Kuhusu maneno "nitawatumikia wananchi wote bila kujali dini zao, kabila zao, rangi zao na vyama vyao vya siasa" kumbe ni kauli ya uongo? Kama ni hivyo kwa nini unadhani tunapswa kuendelea kumchagua mtu anayetoa ahadi za uongo?
 
Kuhusu maneno "nitawatumikia wananchi wote bila kujali dini zao, kabila zao, rangi zao na vyama vyao vya siasa" kumbe ni kauli ya uongo? Kama ni hivyo kwa nini unadhani tunapswa kuendelea kumchagua mtu anayetoa ahadi za uongo?
Waongo ni watu ambao wanachagua wabunge na madiwani wa upinzani halafu wanasubiri maendeleo toka CCM.
Halafu nimekwambia kuna miradi ya Kitaifa, Kijimbo, Kimkoa n.k.

Hivyo maana ya hayo maneno ya Magufuli uliyoandika yapo sehemu ya miradi ya Kitaifa, Kimkoa n.k

Kwa miradi ya Kijimbo pambaneni na mbunge au madiwani mliowachagua.

Magufuli mitano tena (2020-2025)
 
Umekua mgumu sana kuelewa,
Nimekwambia kuna miradi ya Kitaifa, Kimkoa, Kiwilaya, Kijimbo n.k

Hivyo chagua wewe unataka miradi ya aina gani unapopiga jura.

msimpe lawama Magufuli kuhusu kutekeleza miradi, huo ni msimamo wake
Leta data zinazo onesha maendeleo ya kijimbo kati majimbo yale ya upinzani na Chama tawala utaweza kunishawishi kuwa mbunge anakwamisha maendeleo au anapaisha
Chagua mwnywe majimbo
 
Haina maana yake ni ujinga mtupu. Maendeleo hayana chama halafu unatumia billions kununua malaya wa kisiasa toka upinzani!!!
Tumekua tukimsikia mara nyingi Mh Rais Magufuli akisema maendeleo hayana Chama,
Ila je ni wangapi wanaojua maana ya maneno hayo?

niseme tu kwamba kuna watu wachache sana wanapotosha maneno hayo. "maendeleo hayana chama" anayopenda kuyatumia Mh Raisi Magufuli kwa makusudi au kwa kutokujua.

Maana ya maneno " maendeleo hayana Chama ni kwamba" hata kama wewe una mapenzi na Chama kingine tofauti na CCM ila maendeleo anayofanya Mh Raisi Magufuli mfano

Miundombinu ya Usafiri kama Barabara, Madaraja, Meli, Ndege, Treni n.k watu wa vyama vyote watatumia.

Pia kuna miundombinu ya Afya aliyojenga Mh Raisi Magufuli kama Hospitali, Zahanati n.k pia watatumia watu wa vyama vyote.

Miundombinu ya Elimu kama Mikopo ya vyuo vikuu, Elimu bure kwa Shule za Sekondari na Msingi n.k hivyo vyote wanafuika ni watu wa vyama vyote.

Nimejaribu kuandika kwa kifupi ili ieleweke.
Magufuli mitano tena (2020-2025)
Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli.
 
Haina maana yake ni ujinga mtupu. Maendeleo hayana chama halafu unatumia billions kununua malaya wa kisiasa toka upinzani!!!
Unamaanisha CHADEMA kuna malaya?
Jenga hoja yako vizuri
 
Leta data zinazo onesha maendeleo ya kijimbo kati majimbo yale ya upinzani na Chama tawala utaweza kunishawishi kuwa mbunge anakwamisha maendeleo au anapaisha
Chagua mwnywe majimbo
Niambie jimbo lako ili nikupe data,
Magufuli yupo kwa ajili ya maendeleo ya watu na vitu taarifa zote zipo wazi na watanzania wote wazalendo wanajua
 
Asante kwa swali zuri
Maana yake ni kwamba katika Taifa kuna miradi ya aina tofauti.
1. Kuna miradi ya kitaifa
2. Kuna miradi ya kijimbo
3. Kuna miradi ya kiwilaya n.k

Sasa Raisi ana uwezo wa kusimamia moja kwa moja miradi ya kitaifa, kiwilaya n.k
Ila miradi ya kijimbo lazima mbunge na madiwani wahusike kupitisha hasa kwenye kwenye Halmashauri zenye Meya wa upinzani.

Hivyo Rais Magufuli anaposema mkichagua upinzani sileti maendeleo maana yake hawezi kupeleka miradi ya kijimbo sababu kisiasa atakua anamnufaisha Chama kingine pia katika kupitisha miradi ya kijimbo lazima mbunge na madiwani wahusike.
Ila kwa upande wa miradi ya kitaifa hawezi kubagua mikoa au Wilaya kupeleka maendeleo.
we una akili kweli wew??
kwamba ukipeleka maendeleo mahali basi una kua ume kinufaisha iko chama kw kua tu mbunge/diwani ana tokea upinzani
we uko sawa sawa kweli ww??
hivi nchi zilizo endelea kama Us/European countries kunge kua na huu ubaguzi wa kishamba unazani kunge kua hivi unavo paona leo?
tuna posema kua ninyi ni Chanzo Cha Matatizo
tunaomba ieleweke hata ninyi wabachama wa iko chama chenu ndio mnao zidisha ujinga kweny hii nchi bas ieleweke hivi kwamba ninyi ni vilaza first grade
 
Asante kwa swali zuri
Maana yake ni kwamba katika Taifa kuna miradi ya aina tofauti.
1. Kuna miradi ya kitaifa
2. Kuna miradi ya kijimbo
3. Kuna miradi ya kiwilaya n.k

Sasa Raisi ana uwezo wa kusimamia moja kwa moja miradi ya kitaifa, kiwilaya n.k
Ila miradi ya kijimbo lazima mbunge na madiwani wahusike kupitisha hasa kwenye kwenye Halmashauri zenye Meya wa upinzani.

Hivyo Rais Magufuli anaposema mkichagua upinzani sileti maendeleo maana yake hawezi kupeleka miradi ya kijimbo sababu kisiasa atakua anamnufaisha Chama kingine pia katika kupitisha miradi ya kijimbo lazima mbunge na madiwani wahusike.
Ila kwa upande wa miradi ya kitaifa hawezi kubagua mikoa au Wilaya kupeleka maendeleo.
Kwani kodi kutoka majimbo haizendi mfuko mkuu wa hazina?
 
Usinipangie cha kuandika kama hukuelewa hainihusu.
Jenga hoja acha kurukaruka kama maharage motoni.
Dr Slaa alishawaambia siasa ni sayansi, sasa ninyi Chadema mnaongea maneno matupu na kupotosha yote mazuri yanayofanywa na Magufuli.
 
Ni mwenye UFINYU wa akili tu anayeweza kuandika upuuzi kama huu. Dr Slaa Dr Slaa huyo ni MPUUZI mwingine aliyekubali kumpokea fisadi lowassa Chadema hadi alipotimuliwa na hawara yake ndiyo akili ikamkaa kichwani. Toa UZWAZWA wako hapa.
Jenga hoja acha kurukaruka kama maharage motoni.
Dr Slaa alishawaambia siasa ni sayansi, sasa ninyi Chadema mnaongea maneno matupu na kupotosha yote mazuri yanayofanywa na Magufuli.
 
Kwani kodi kutoka majimbo haizendi mfuko mkuu wa hazina?
Kuna kodi za Halmashauri na kodi za serikali kuu,
kodi za Halmashauri zinaenda kwenye Halmashauri husika inayoongozwa na Meya anaechaguliwa na madiwani wa Chama husika.
Ila kuhusu kodi ni somo lefu linalohitaji mjadala mwingine.
 
Back
Top Bottom