Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Ndugu wananchi maendeleo hayaletwi na vyama vya siasa, maendeleo yanaletwa na watu walioamua kuendelea.
Nchi ikiwa na wananchi walioamua kuendelea itaendelea tu.
Vijana changamkeni tumieni nguvu zenu. Nchi yetu ipo wanasiasa hawataweza hata siku moja kutuletea maendeleo.
Nchi ikiwa na wananchi walioamua kuendelea itaendelea tu.
Vijana changamkeni tumieni nguvu zenu. Nchi yetu ipo wanasiasa hawataweza hata siku moja kutuletea maendeleo.