Maendeleo gani mapya mmepata kijijini/mtaani kwenu kati ya 2015 hadi leo 2020?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,571
15,321
1: Daraja lililokuwa hitaji kubwa kwa wananchi.

2: Kukamilishwa kwa Barabara ya lami.

3: Kupimiwa viwanja mtaa mzima na kupewa mawe (mchakato endelevu).

4: Ujenzi wa barabara mpya ya lami ambayo itafungua kabsa kijiji chote.

5: Ununuzi wa kiwanja cha shule mpya ya serikali.

6: Ufunguzi wa Hospitali kwa ajili ya waze na matibabu ya emergency ( ni private).

7: Shule za awali za private kama nne hivi.

8: Soko jipya na tayari wananchi ndio kipaumbele ambalo bado liko kwenye pipe line.

9: ongezeko la route ya dadadala ambapo zamani tulikuwa tunatumia hadi 1200 kwenda kusaka fwedha jijini sasa ni 600 tu.

10: Ongezeko la makanisa na misikiti hivyo watu wengi kusilimu na kuokoka hivyo kupunguza uarifu.

11: Kwa mara ya kwanza awamu hii gari la polisi la patroo mara moja moja huonekana likipita mitaani kudumisha ulinzi na usalama.

12: Chili ya serikali ya mtaa watu wa fumigation hupita mtaani kwa ghalama ya 1000 hd 2000 kwa kuzuia maambukizi vyooni.

13: Kumekuwa na ongezeko la maduka, malls na supermarkets na flames nyingin za biashara.

14: Vituo vya mafuta viwili vikubwa na cha tatu kinakuja.

Haya ni machache tu niliyoyakumbuka kwa harakaharahaka.

Vipi huko mtaani/kijijini kwako nini kipya kimeongezeka kama ishara ya maendeleo kuanzia 2015 hadi 2020?
 
Ndege za ATCL zinatua kila kijiji fraiova kila makutano ya barabara,Meri kila kijiji,maji,treni ya mwendo Kasi vyote tumepata kila kijiji,hongera awamu ya tano,hatuna sababu ya kufanya uchaguzi katika kipindi cha miaka 30 ijayo,aliyepo anatosha na matatizo yetu yote yameisha.kila kijiji atakacho tembelea tutampa zawadi za majogoo hadi achoke,tunamuomba awe anatembea na gali lenye kontena ili tuyajaze makontena.
 
Kwetu kwa kweli hamna.

Ila wamepeleka mhudumu mmoja wa afya zahanati, mradi wa zahanati umetumia zaidi ya miaka kumi mpaka kuanza kutumika.
na kukamilisha uwekaji wa umeme(mradi unaendelea, wananchi wako wanafanya wiring.) Umeme ni mradi ambao una zaidi ya miaka saba mwaka huu ndio wanakamilisha.
Na kuwekewa karavat badala ya daraja.
Na kuboresha ofisi ya kijiji. (Hili huwa kila mwaka huwa wanaweka)

Maji hakuna na barabara mbovu.
Walimu wachache shule ya msingi na nyumba za kukaa walimu hazikidhi.

Upimaji wa viwanja haujawahi fanyika.

Nina hasira sana na serikali. Ni kama imetusahau.
 
Kwetu kwa kweli hamna.

Ila wamepeleka mhudumu mmoja wa afya zahanati, mradi wa zahanati umetumia zaidi ya miaka kumi mpaka kuanza kutumika.
na kukamilisha uwekaji wa umeme(mradi unaendelea, wananchi wako wanafanya wiring.) Umeme ni mradi ambao una zaidi ya miaka saba mwaka huu ndio wanakamilisha.
Na kuwekewa karavat badala ya daraja.
Na kuboresha ofisi ya kijiji. (Hili huwa kila mwaka huwa wanaweka)

Maji hakuna na barabara mbovu.
Walimu wachache shule ya msingi na nyumba za kukaa walimu hazikidhi.

Upimaji wa viwanja haujawahi fanyika.

Nina hasira sana na serikali. Ni kama imetusahau.
Mbunge wako nani?
 
Kwetu kwa kweli hamna.

Ila wamepeleka mhudumu mmoja wa afya zahanati, mradi wa zahanati umetumia zaidi ya miaka kumi mpaka kuanza kutumika.
na kukamilisha uwekaji wa umeme(mradi unaendelea, wananchi wako wanafanya wiring.) Umeme ni mradi ambao una zaidi ya miaka saba mwaka huu ndio wanakamilisha.
Na kuwekewa karavat badala ya daraja.
Na kuboresha ofisi ya kijiji. (Hili huwa kila mwaka huwa wanaweka)

Maji hakuna na barabara mbovu.
Walimu wachache shule ya msingi na nyumba za kukaa walimu hazikidhi.

Upimaji wa viwanja haujawahi fanyika.

Nina hasira sana na serikali. Ni kama imetusahau.
sisi maji yanakaribia sana mkuu bado kidogo tu maana jirani wananufaika.
 
Ndege za ATCL zinatua kila kijiji fraiova kila makutano ya barabara,Meri kila kijiji,maji,treni ya mwendo Kasi vyote tumepata kila kijiji,hongera awamu ya tano,hatuna sababu ya kufanya uchaguzi katika kipindi cha miaka 30 ijayo,aliyepo anatosha na matatizo yetu yote yameisha.kila kijiji atakacho tembelea tutampa zawadi za majogoo hadi achoke,tunamuomba awe anatembea na gali lenye kontena ili tuyajaze makontena.
mkuu umekunywa nini asubuhi jamaa yangu.
Mtaani au kijijini kwako sio AIRPORT AU ROUND ABOUT
 
Kwetu kwa kweli hamna.

Ila wamepeleka mhudumu mmoja wa afya zahanati, mradi wa zahanati umetumia zaidi ya miaka kumi mpaka kuanza kutumika.
na kukamilisha uwekaji wa umeme(mradi unaendelea, wananchi wako wanafanya wiring.) Umeme ni mradi ambao una zaidi ya miaka saba mwaka huu ndio wanakamilisha.
Na kuwekewa karavat badala ya daraja.
Na kuboresha ofisi ya kijiji. (Hili huwa kila mwaka huwa wanaweka)

Maji hakuna na barabara mbovu.
Walimu wachache shule ya msingi na nyumba za kukaa walimu hazikidhi.

Upimaji wa viwanja haujawahi fanyika.

Nina hasira sana na serikali. Ni kama imetusahau.
Utakuwa unatoka jimbo la Suleiman bungala (bwege)
 
Back
Top Bottom