kilght
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 634
- 181
nilikuwepo kwenye mkutano wa mheshimiwa SUGU alifanya vizuri sana ingawa ilifanyika kijijini sana lakini huwezi amini watu walivokuwa wengi mimi nana picha yake ya video watu walirudisha kadi za ccm watu walijiunga na cdm.lakin tulivokuwa tunatoka huko kwenye mkutano sehem ya ilolo tulivamiwa na vijana wa ccm waliokuwa wameshika sepetu sururu fimbo na mawe na kujeruhi baadhi wa watu na kwa maonezi zaidi pia walikamatwa watu watano waliopigwa uvamizi huo uliongozwa na mwenyekiti wa vijana wilaya ccm Michael Mwangosi