Maelezo ya ku- root Android phones

Maelezo ya ku- root Android phones

Mkuu NigaR ninawezaje kuitumia simu yangu aina ya samsung galaxy ace kwenye kompyuta ili kupata internet kama ilivyo nokia ukiwa na nokia pc suite.

kwanza hakikisha simu yako iko connected na internet.
then ukukisha chomeka simu yako na computer nenda
->menu
->settings
->Wireless & Networks
->USB Tethering & Portable Hotspot
->kisha tick kibox cha USB Tethering
->baada ya hapo kitatokea ki notification
->subiri computer itakupa notification kua uko connected na internet
 
kwanza hakikisha simu yako iko connected na internet.
then ukukisha chomeka simu yako na computer nenda
->menu
->settings
->Wireless & Networks
->USB Tethering & Portable Hotspot
->kisha tick kibox cha USB Tethering
->baada ya hapo kitatokea ki notification
->subiri computer itakupa notification kua uko connected na internet

Nimefika kwenye hicho kibox cha usb Tethering lakini hakikubali kuweka tiki
 
Nimefika kwenye hicho kibox cha usb Tethering lakini hakikubali kuweka tiki

Nenda
Settings - Applications - development
then chek If the chek box for usb debugging is enabled
if it is Unchek it then reconect tethering it shud work
 
Nimefika kwenye hicho kibox cha usb Tethering lakini hakikubali kuweka tiki
hakikisha simu yako iko connected na computer ndo uselect USB tethering, bila ya kuconnect haito kubali ku tick
 
Last edited by a moderator:
Nimefika hapo lakini bado

does your computer recognize or reads your phone whenever you connect it .. sababu window 7 haina drivers za Samsung galaxy ace .. so you have to download then install the drivers .. that way Im shure it wil do help
 
wote mnao tumia Galaxy Ace fuateni maelekezo niliyo yatoa hapo juu, nimetoka ku test na Samsung Galaxy Ace ya jamaa yangu imekubali bila shida,
 
Kweli teknolojia imenipita.. Sielewi kitu yaan!!

I got samsung galaxy s advance niki iroot ntapata faida gani?
 
wote mnao tumia Galaxy Ace fuateni maelekezo niliyo yatoa hapo juu, nimetoka ku test na Samsung Galaxy Ace ya jamaa yangu imekubali bila shida,

samahani mi natumia ideos u 8150 naomba unisaidie jinsi ya kubadili fonts au kama kuna app ya kufanya hivyo!
 
kwanza hakikisha simu yako iko connected na internet.
then ukukisha chomeka simu yako na computer nenda
->menu
->settings
->Wireless & Networks
->USB Tethering & Portable Hotspot
->kisha tick kibox cha USB Tethering
->baada ya hapo kitatokea ki notification
->subiri computer itakupa notification kua uko connected na internet
mimi kwangu ninikonect inakuwa inachaji tu na sehemu hii SB Tethering & Portable Hotspot
->kisha tick kibox cha USB Te hiko kibox cha kutik kinakuwa kimekufa.....nifanyaje?????
 
ndugu mimi nna samsung galaxy sgt 5570 nimedownload app ya jamiiforum kutoka kwenye store lakini inagoma kufunguka....na sio hiyo tu application nyingi nkidownload zikishainstall zinagoma kufunguka......nifanyaje????

2:nataka nkichomeka line yoyote umu nipatr internet nifanyaje?? hapa natumia ya tigo na walinionganisha ofisini kwao

ahsante
 
wote mnao tumia Galaxy Ace fuateni maelekezo niliyo yatoa hapo juu, nimetoka ku test na Samsung Galaxy Ace ya jamaa yangu imekubali bila shida,

ndugu mimi nna samsung galaxy sgt 5570 nimedownload app ya jamiiforum kutoka kwenye store lakini inagoma kufunguka....na sio hiyo tu application nyingi nkidownload zikishainstall zinagoma kufunguka......nifanyaje????

2:nataka nkichomeka line yoyote umu nipatr internet nifanyaje?? hapa natumia ya tigo na walinionganisha ofisini kwao

ahsante
 
ndugu mimi nna samsung galaxy sgt 5570 nimedownload app ya jamiiforum kutoka kwenye store lakini inagoma kufunguka....na sio hiyo tu application nyingi nkidownload zikishainstall zinagoma kufunguka......nifanyaje????

2:nataka nkichomeka line yoyote umu nipatr internet nifanyaje?? hapa natumia ya tigo na walinionganisha ofisini kwao

ahsante
kwanza kuhusu app ya jamiiforums inagoma ku connect katika slow internet especially edges jalibu kuitumia kene 3G kama italeta shida tena.

kuhusu internet just badili line kisha nenda
>SETTINGS
>wireless & networks
>mobile networks
>Access Point Names
>bonyeza menu kisha Add APN baada ya hapo jaza

NAME: Internet
APN: internet
field zilizo baki ziache kama zilivyo, bonyeza menu kisha save rudi back and select your APN , fanya hivyo kwa kil mtandao, kumbuka ukibadili line kama uliweka voda na kutengeneza APN uki badili line ya voda na kuweka line ya voda nyingine APN uliyo tengeneza itabaki lakini ukibadili line ya mtandao mwingine kama hukuweka APN yake itakulazimu kutengeneza APN mpya. pia kuna mitandao baadhi kama vile Airtel wana tuma APN automatically hii inaepusha usumbufu

 
samahani mi natumia ideos u 8150 naomba unisaidie jinsi ya kubadili fonts au kama kuna app ya kufanya hivyo!

Bro download application inaitwa root manager kutoks android market ... itakusaidia tatizo lako
 
kwanza kuhusu app ya jamiiforums inagoma ku connect katika slow internet especially edges jalibu kuitumia kene 3G kama italeta shida tena.

kuhusu internet just badili line kisha nenda
>SETTINGS
>wireless & networks
>mobile networks
>Access Point Names
>bonyeza menu kisha Add APN baada ya hapo jaza

NAME: Internet
APN: internet
field zilizo baki ziache kama zilivyo, bonyeza menu kisha save rudi back and select your APN , fanya hivyo kwa kil mtandao, kumbuka ukibadili line kama uliweka voda na kutengeneza APN uki badili line ya voda na kuweka line ya voda nyingine APN uliyo tengeneza itabaki lakini ukibadili line ya mtandao mwingine kama hukuweka APN yake itakulazimu kutengeneza APN mpya. pia kuna mitandao baadhi kama vile Airtel wana tuma APN automatically hii inaepusha usumbufu


bro nikidownload vitu kutoka kwenye store kwenye hii samsung yangu sgt 5570 vikimaliza kudownload vinaniambia file invalid....tatizo ni nini hapo na nifanyaje??
 
kume kua na umuhimu mkubwa kutoa taarifa na elimu juu ya ku root android devices leo nimeona sio mbaya tushirikishane kile tukijuacho kuhusu rooting.KABLA YA KUANZA: KUROOT SIMU YAKO KUTA BATILISHA WARRANTY NA MUUZAJI ALIE KUUZIA, PIA ROOT AT YOUR OWN RISK I WILL NOT BE HOLD RESPONSIBLE FOR ANY NEGATIVE OUTCOMES.
1)ANDROID ROOTING NI NINI?
ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones,tablets na vifaa vingine bomba vinavyo tumia oprating sysetm ya android kupata uwezo wa kuiendesha simu ama kifaa kingine cha android katika kiwango cha hali ya juu.
rooting maranyingi hutumika kwa lengo la ku overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android.
2)FAIDA ZA ROOTING
rooting ina faida kibao kama vile uwezo wa kubadiri ROOM, ku unstall system installed apps ku istall apps ambazo zina hitaji root access kama vile TITANIUM BACKUP.
3)JINSI YA KU-ROOT
ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu, hapa nitatoa njia za ku root baadhi ya simu na baadhi ya version za android,

(i)HUAWEI Ideos U8150

wengi wana miliki simu aina ya HUAWEI IDEOS U8150, ku root simu ya anaina ni virahisi sana fusta utaratibu huu
>download app iitwayo z4root( chukua z4root kwenye link hii z4root.apk - 4shared.com download free - 1)
>kisha install z4root
>fungua z4root
>then click palipo andikwa PERMANENT ROOT
>zima simu yako kisha washa angalia apps zako kama utakuta kuna app inayo itwa SuperUser imeongezeka hapo utakua ume root simu yako.
pia kwa wale mnao tumia android 2.2 ama floyo tumieni njia hii itawasaidia



(ii)SAMSUNG GALAXY S3
REQUIREMENTS

This root guide is for the Samsung Galaxy S III on Ice Cream Sandwich. Specifically, it is for theGT-I9300 and GT-I9300T models, the international and T-Mobile USA versions of the Galaxy S III. This guide may or may not work with other versions of the Galaxy S3 and it may or may not work with Galaxy S3 running on other versions of Android. Proceed at your own risk with other models and on other versions of Android.
BEFORE WE BEGIN

We're gonna need to download some files first:

  • The USB Drivers for your Samsung Device. Install the drivers, if you haven't installed them already.
  • Odin, the windows interface that connects to your phone. Extract the contents of the ZIP file.
  • Root files for the Galaxy S3. Extract the contents of the ZIP file.
HOW TO ROOT SAMSUNG GALAXY S3

If you ever rooted a phone before this will be very straightforward. If not, make sure you read everything over to make sure you get it.

  • Before connecting your phone, make sure it is in USB debugging mode. (Settings -> Applications -> Development -> USB debugging)
    Now turn it off, and start S3 into download mode by holding Volume Down + Home + Power. Once it gives you a warning, press Volume Up.
  • Now connect the phone with your PC with your USB Cable. And start the Odin program you downloaded. You should notice a blue sign saying something like 0:[com:6]. Otherwise try reinstalling the Samsung drivers.
  • The next step is to press the PDA button in odin (Not the PHONE button!) and open the 'CF-Root-SGS3-v6.0.tar' file that was inside the root files you downloaded.
  • Now quickly read over these steps to see if you did everything okay, if so, then go ahead and press the Start button on Odin and wait, it should tell you 'PASS!' and if you look at your phone now, it will be rebooting quite quickly, however, it will be rooted!
CONCLUSION

The Galaxy is now completely under your own control, it couldn't be easier! Now you can do things such as block ads or deny apps Internet access.

(iii)SAMSUNG GALAXY Warning


  • The instructions in this guide are intended for use with the Samsung Galaxy S2, model number GT-I9100G. Applying these instructions on another device or model may produce undesired outcomes.
  • The information in this guide is provided for instructional and educational purposes only. There is no guarantee that these instructions will work under your specific and unique circumstances.
  • Use these instructions at your own risk. We shall not hold any responsibility or liability for whatever happens to you or your device arising from your use of the info in this guide.
  • Read and understand the whole guide first before actually performing the instructions.
Requirements


  • A Samsung Galaxy S2 GT-I9100G
  • A Windows PC
  • USB Drivers installed on your computer. You can get the drivers by installing Samsung KIES on your computer and connect it with your phone. Make sure to close Samsung KIES before proceeding below.
  • Close system tools such as anti-virus software, firewall programs, and Samsung KIES to avoid interruptions while you root your phone.
  • To ensure your phone has sufficient power throughout the procedure, charge your phone's battery to 70% or more.
  • Enable USB debugging on your phone.
  • Backup all personal data on your phone to make sure you have a copy of your personal data (e.g., contacts, SMS, MMS, Internet settings, Wi-Fi passwords, and the like) in case the procedure in this guide erases such data.
Instructions

You have two methods for rooting your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G. The first one involves flashing a pre-rooted custom kernel using Odin3. The second one uses DooMLoRD's Easy Rooting Toolkit. Choose either of the two, and if one doesn't work, try the other.
Root Via Custom Kernel


  1. Download the Superatmos kernel v3.2 (superatmos_I9100G_kernel_v3.2.tar, 7.2 MB) to your computer.
  2. Download Odin3 v1.85 (Odin3-v1.85.zip, 199 kB) and extract it into a folder on your computer.
  3. Switch off your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G.
  4. Reboot your phone into Download Mode. To do that, press and hold the Volume Down key, Home button (middle key), and Power button simultaneously. A warning message will appear on the next screen. Press the Volume Up key to continue.
  5. On your computer, go to the folder where you extracted the Odin3 files and double-clickOdin3 v1.85.exe to launch Odin3 on your computer.
  6. Connect your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G to the computer via USB cable. The word "Added" will be displayed in Odin3. If it doesn't appear, make sure you have successfully installed the USB drivers for your phone.
  7. Click the PDA button in Odin3 and select the superatmos_I9100G_kernel_v3.2.tar file.
  8. Make sure "Re-partition" is not checked under Option.
  9. Click the Start button to begin flashing the kernel to your mobile phone. Your phone will automatically reboot. By this time, your phone will now already be rooted with ClockworkMod Recovery installed.
  10. [Optional] With ClockworkMod now installed, you can flash the latest Superatmos kernel v3.3 kernel by doing the following steps:
    1. Download the Superatmos v3.3 kernel (cwm_superatmos_kernel_v3.3.zip, 8.12 MB) and copy it to the root of your SD card.
    2. Switch off your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G.
    3. Reboot your phone into ClockworkMod Recovery Mode. You can do that by pressing the Volume Up key, Home button (middle key), and Power button simultaneously until Recovery Mode boots.
    4. Select Install ZIP From SD Card. Select Choose ZIP From SD Card and select thecwm_superatmos_kernel_v3.3.zip.
    5. Reboot your mobile phone.


NATUMAI TUMEPATA MWANGA, WALIO NA UELEWA WA KU ROOT SIMU NYINGINE UWANJA NI WENU
bro nikidownload vitu kutoka kwenye store kwenye hii samsung yangu sgt 5570 vikimaliza kudownload vinaniambia file invalid....tatizo ni nini hapo na nifanyaje??
 
kume kua na umuhimu mkubwa kutoa taarifa na elimu juu ya ku root android devices leo nimeona sio mbaya tushirikishane kile tukijuacho kuhusu rooting.KABLA YA KUANZA: KUROOT SIMU YAKO KUTA BATILISHA WARRANTY NA MUUZAJI ALIE KUUZIA, PIA ROOT AT YOUR OWN RISK I WILL NOT BE HOLD RESPONSIBLE FOR ANY NEGATIVE OUTCOMES.
1)ANDROID ROOTING NI NINI?
ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones,tablets na vifaa vingine bomba vinavyo tumia oprating sysetm ya android kupata uwezo wa kuiendesha simu ama kifaa kingine cha android katika kiwango cha hali ya juu.
rooting maranyingi hutumika kwa lengo la ku overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android.
2)FAIDA ZA ROOTING
rooting ina faida kibao kama vile uwezo wa kubadiri ROOM, ku unstall system installed apps ku istall apps ambazo zina hitaji root access kama vile TITANIUM BACKUP.
3)JINSI YA KU-ROOT
ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu, hapa nitatoa njia za ku root baadhi ya simu na baadhi ya version za android,

(i)HUAWEI Ideos U8150

wengi wana miliki simu aina ya HUAWEI IDEOS U8150, ku root simu ya anaina ni virahisi sana fusta utaratibu huu
>download app iitwayo z4root( chukua z4root kwenye link hii z4root.apk - 4shared.com download free - 1)
>kisha install z4root
>fungua z4root
>then click palipo andikwa PERMANENT ROOT
>zima simu yako kisha washa angalia apps zako kama utakuta kuna app inayo itwa SuperUser imeongezeka hapo utakua ume root simu yako.
pia kwa wale mnao tumia android 2.2 ama floyo tumieni njia hii itawasaidia



(ii)SAMSUNG GALAXY S3
REQUIREMENTS

This root guide is for the Samsung Galaxy S III on Ice Cream Sandwich. Specifically, it is for theGT-I9300 and GT-I9300T models, the international and T-Mobile USA versions of the Galaxy S III. This guide may or may not work with other versions of the Galaxy S3 and it may or may not work with Galaxy S3 running on other versions of Android. Proceed at your own risk with other models and on other versions of Android.
BEFORE WE BEGIN

We're gonna need to download some files first:

  • The USB Drivers for your Samsung Device. Install the drivers, if you haven't installed them already.
  • Odin, the windows interface that connects to your phone. Extract the contents of the ZIP file.
  • Root files for the Galaxy S3. Extract the contents of the ZIP file.
HOW TO ROOT SAMSUNG GALAXY S3

If you ever rooted a phone before this will be very straightforward. If not, make sure you read everything over to make sure you get it.

  • Before connecting your phone, make sure it is in USB debugging mode. (Settings -> Applications -> Development -> USB debugging)
    Now turn it off, and start S3 into download mode by holding Volume Down + Home + Power. Once it gives you a warning, press Volume Up.
  • Now connect the phone with your PC with your USB Cable. And start the Odin program you downloaded. You should notice a blue sign saying something like 0:[com:6]. Otherwise try reinstalling the Samsung drivers.
  • The next step is to press the PDA button in odin (Not the PHONE button!) and open the 'CF-Root-SGS3-v6.0.tar' file that was inside the root files you downloaded.
  • Now quickly read over these steps to see if you did everything okay, if so, then go ahead and press the Start button on Odin and wait, it should tell you 'PASS!' and if you look at your phone now, it will be rebooting quite quickly, however, it will be rooted!
CONCLUSION

The Galaxy is now completely under your own control, it couldn't be easier! Now you can do things such as block ads or deny apps Internet access.

(iii)SAMSUNG GALAXY Warning


  • The instructions in this guide are intended for use with the Samsung Galaxy S2, model number GT-I9100G. Applying these instructions on another device or model may produce undesired outcomes.
  • The information in this guide is provided for instructional and educational purposes only. There is no guarantee that these instructions will work under your specific and unique circumstances.
  • Use these instructions at your own risk. We shall not hold any responsibility or liability for whatever happens to you or your device arising from your use of the info in this guide.
  • Read and understand the whole guide first before actually performing the instructions.
Requirements


  • A Samsung Galaxy S2 GT-I9100G
  • A Windows PC
  • USB Drivers installed on your computer. You can get the drivers by installing Samsung KIES on your computer and connect it with your phone. Make sure to close Samsung KIES before proceeding below.
  • Close system tools such as anti-virus software, firewall programs, and Samsung KIES to avoid interruptions while you root your phone.
  • To ensure your phone has sufficient power throughout the procedure, charge your phone’s battery to 70% or more.
  • Enable USB debugging on your phone.
  • Backup all personal data on your phone to make sure you have a copy of your personal data (e.g., contacts, SMS, MMS, Internet settings, Wi-Fi passwords, and the like) in case the procedure in this guide erases such data.
Instructions

You have two methods for rooting your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G. The first one involves flashing a pre-rooted custom kernel using Odin3. The second one uses DooMLoRD’s Easy Rooting Toolkit. Choose either of the two, and if one doesn’t work, try the other.
Root Via Custom Kernel


  1. Download the Superatmos kernel v3.2 (superatmos_I9100G_kernel_v3.2.tar, 7.2 MB) to your computer.
  2. Download Odin3 v1.85 (Odin3-v1.85.zip, 199 kB) and extract it into a folder on your computer.
  3. Switch off your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G.
  4. Reboot your phone into Download Mode. To do that, press and hold the Volume Down key, Home button (middle key), and Power button simultaneously. A warning message will appear on the next screen. Press the Volume Up key to continue.
  5. On your computer, go to the folder where you extracted the Odin3 files and double-clickOdin3 v1.85.exe to launch Odin3 on your computer.
  6. Connect your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G to the computer via USB cable. The word “Added” will be displayed in Odin3. If it doesn’t appear, make sure you have successfully installed the USB drivers for your phone.
  7. Click the PDA button in Odin3 and select the superatmos_I9100G_kernel_v3.2.tar file.
  8. Make sure “Re-partition” is not checked under Option.
  9. Click the Start button to begin flashing the kernel to your mobile phone. Your phone will automatically reboot. By this time, your phone will now already be rooted with ClockworkMod Recovery installed.
  10. [Optional] With ClockworkMod now installed, you can flash the latest Superatmos kernel v3.3 kernel by doing the following steps:
    1. Download the Superatmos v3.3 kernel (cwm_superatmos_kernel_v3.3.zip, 8.12 MB) and copy it to the root of your SD card.
    2. Switch off your Samsung Galaxy S2 GT-I9100G.
    3. Reboot your phone into ClockworkMod Recovery Mode. You can do that by pressing the Volume Up key, Home button (middle key), and Power button simultaneously until Recovery Mode boots.
    4. Select Install ZIP From SD Card. Select Choose ZIP From SD Card and select thecwm_superatmos_kernel_v3.3.zip.
    5. Reboot your mobile phone.


NATUMAI TUMEPATA MWANGA, WALIO NA UELEWA WA KU ROOT SIMU NYINGINE UWANJA NI WENU
bro nikidownload vitu kutoka kwenye store kwenye hii samsung yangu sgt 5570 vikimaliza kudownload vinaniambia file invalid....tatizo ni nini hapo na nifanyaje??
 
Back
Top Bottom