masssaiboi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 636
- 132
Na kwa nini aje halafu achague baadhi tu ya vyombo vya habari, pili kwani waandishi wangempiga picha na kuzitoa magazetini kingetokea nini, anasema nia kuja kwake ni kuondoa utata uliogubika taifa kuhushu nani ni mmiliki na kusafisha jina la kampuni yake ambalo anaona linachafuliwa, sasa kama ni hivyo kwa nini atake tufanye atakavyo? na kweli watu wamegwaya mimi sijaona picha yake.
Huwezi mpangia mtu aongee au hasiongee na nani, hakuja mahakamani.