Maduka ya wahindi yashambuliwa

Maduka ya wahindi yashambuliwa

Sio wahindi tu hata hapa nchini uliza wanaofanya kazi kwa hawa raia wa kigeni wanavyodharirishwa na kutukanwa ovyo. Umaskini sio aibu ila unauma sana
 
kuna wapuuzi wana ajiriwa kama HR ndo huwa wanachezea deal za uhamiaj na kuwabeba wakiwabagua wabongo wenzao
 
We Kahtan we mhindi. Sasa ona unabagua watanzania kwenye nchi yao na unatuita wanyarwanda.

mimi sio muhindi lakini , sisi watanzania hatuna tabia ya kutishiana maisha! ni wahutu ndio wenye tabioa hizo! ndo maana nikamwita huyo , mnyaruanda
 
Back
Top Bottom