Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Jamani mwenzenu mara tatu nimenunua kuku wameoza shoprite ni wale ambao wanakuwa wamekaangwa. Pia majuzi nimeenda kununua Keki zile kama za sherehe za watoto nikashangaa yule mama ananifungia keki kwenye box la azam juice ambalo limeshamaliza juice actuaaly alishaandika na jina pale juu nikakataa kuchukua ile keki. Anayedhani uongo aende kesho aagize keki aone kinachotokea ni pale kamata. Sasa hivi hapo usafi uko wapi ? Wenzangu hamjakumbana na mambo ya hivyo ni mimi tu?
Nawasilisha.
Nawasilisha.