Maduka makubwa ya viungo Mwanza

Maduka makubwa ya viungo Mwanza

Steven Masele

Member
Joined
Jun 15, 2025
Posts
6
Reaction score
12
Wadau kwema nijuzeni

Hivi ni wapi Mwanza jijini naweza kupata viungo vya pilau na chai kwa bei ya jumla? Pia ubuyu wa mbegu, vipande na mifuko ya jumla jumla kwa bei nafuu? Nijuzeni tafadhali kupitia namba ya whattssapp 0624726872
Natanguliza shukurani zangu za dhati ahsanteni sana.
 
Back
Top Bottom