Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Napenda kuuliza hivi inawezekana kusomea diploma ukiwa na form 4 ya 29? Maana hapa dodoma st john inatoa diploma kwa 4 ya 29, sasa sijui ni utapeli baadae wakati wa kuhitimu yatokee magumashi kuwa hawana sifa.