kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
- Thread starter
- #41
Mimi sio mumini wa nguo za mitumba
wewe ni me au ke?
Mimi sio mumini wa nguo za mitumba
Je botike masaloon ya wakongo man na wanawawekea kusha urembo wakati mguu wa mmusapu wako kauweka kwenye paja la mkongoman!! we acha ukiangalia hayo utakuja kuzimika kama mshumaa wakongo man ni noma kwa wadada kinachotakiwa ni dada mwenyewe kujitambua kuwa yupo kwenye mahusiano!!na ni mali yamhusika lasivyo usiguse!
kumbuka jamaa anaangalia miguu na kuona skirts zinavyodondoshwa na kupandishwa.hapandwi na mihemuko?
Kwa iyo unataka tununue nguo bila kujipima?
hapa tunazungumzia baadhi ya wanawake....
hatujasema wanawake in general...mbona akina aisha madinda na wema sepetu ni wake za watu pia
nini vi top,hata chips uswahilini unapata 'wake za watu'
mhhhhhhhhhh ukimchunguza kuku humli......
wengi wanalambwa aisee.....believe me....anaijaribisha nguo,anatazama ilivyompendeza
halafu muuza mitumba anakataa kushusha bei...so mwisho wanaelewana tu...
but hivi kuna sababu gani ya kuvaa mitumba siku hizi ambapo kuna nguo za kichina za bei nafuu???mpya?????
Nakubaliana na wewe 100% hapo kwenye red. Ni uharibifu wa hela tu
hapa tunazungumzia baadhi ya wanawake....
hatujasema wanawake in general...mbona akina aisha madinda na wema sepetu ni wake za watu pia
nini vi top,hata chips uswahilini unapata 'wake za watu'
akili za baadhi ya wanawake nii pasua kichwa..
wauza mitumba
wauza nyma buchani
na madereva taxi....ukiwachunguza utatukana wanawake aisee....