Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

Chadema Diaspora

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
480
Reaction score
644
Madiwani wa wa ccm halmashauri ya Meru wajiunga CHADEMA leo.
Wamepokelewa na kukabidhiwa kadi na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari wilayani Aruneru leo.
Madiwani hao na kata zao ni

1. Loth Nnko (kata ya Maji ya Chai)
2. Godfrey Kishongo Mbisse (Nkoaranga)
3. Abraham Kaaya (Maroroni)
4. Mwanaidi Kimu (Makiba)

diwani1.jpg

diwani2.jpg
 
Yaani na bado hatujaanza kwenda angani, hakika mwaka huu mtakoma sana lazima mkubali tu
 
Hapo Lowassa na timu yake haijaanza kuzunguka nchi nzima !!Ccm wapo busy kualika wasanii dinner !!Wasanii piganieni hati miliki ya kazi zenu sio kuvaa suti na kupiga picha na Magufuli,wenzenu wa Nigeria wana hati miliki ya kazi zao ata wakiugua hawapitishi vikapu vya kuomba msaada kama nyie
Mkuu, shida ya wasanii wa Tz ni hamna rlimu kichwani. Huko wanawaza ngono tu!
 
mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!
 
Wao waendelee tu vijisemo vyao makapi bali sisi namba yaongezeka, msiba wao wautuhusu hao magamba.
 
Hapo Lowassa na timu yake haijaanza kuzunguka nchi nzima !!Ccm wapo busy kualika wasanii dinner !!Wasanii piganieni hati miliki ya kazi zenu sio kuvaa suti na kupiga picha na Magufuli,wenzenu wa Nigeria wana hati miliki ya kazi zao ata wakiugua hawapitishi vikapu vya kuomba msaada kama nyie
Ningeomba uanzishe uzi wa kuwatoa matongotongo hawa wasanii wetu waache kutumiwa kama mshumaa.
 
</script>" style="width:100%; height:100px" dir="ltr">
mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!
mkuu,madiwani wote wa ccm Tabora wamehamia chadema jana,sijui ulichelewa kupata taarifa? Wewe unaambiwa madiwani wa arumeru,halafu unauliza eti mbona wote wa kaskazini!! Kwani kuna arumeru ya kusini?
 
</script>" style="width:100%; height:100px" dir="ltr">mkuu,madiwani wote wa ccm Tabora wamehamia chadema jana,sijui ulichelewa kupata taarifa? Wewe unaambiwa madiwani wa arumeru,halafu unauliza eti mbona wote wa kaskazini!! Kwani kuna arumeru ya kusini?

AHahahaahhahahaahaaahhah,nimeipenda hii
 
Bado hapo mzee hajatoka ndan ..cjii akitoka itakuwaje..???
 
Back
Top Bottom