duh! hawa wagogo sijui wataamka lini maana wamelala usingizi wa pono na watabaki ombaomba mpaka yesu arudiKatika kata ya Chang'ombe Manispaa ya Dodoma CCM wameshinda, je katika kata zingine zilizofanya uchaguzi jana matokeo yako vipi?
Tafadhali wenye taarifa watujuze.
mgogo kumbadilisha aelewe kuwa ccm ndo wanaleta tabu hizi hapa tz ni ngumu kweli..
Hata nchi mbili zinapoingia kwenye vita...zile sehemu muhimu ndio hupigwa kwanza ili kudhohofisha....ndio kitu CDM inafanya...zamu yao itafika tu!!..
duh! hawa wagogo sijui wataamka lini maana wamelala usingizi wa pono na watabaki ombaomba mpaka yesu arudi
Hata nchi mbili zinapoingia kwenye vita...zile sehemu muhimu ndio hupigwa kwanza ili kudhohofisha....ndio kitu CDM inafanya...zamu yao itafika tu!!..
kama wanawachagua design ya Lusinde, unategemea nini?mgogo kumbadilisha aelewe kuwa ccm ndo wanaleta tabu hizi hapa tz ni ngumu kweli..
mgogo kumbadilisha aelewe kuwa ccm ndo wanaleta tabu hizi hapa tz ni ngumu kweli..
tusiwalaumu wala kuwatukana wagogo bali tuwaelimishe ili wawe na chachu ya mabadiliko