Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Nimefinywa sikio toka chanzo cha uhakika kwamba madiwani waliotimuliwa na kamati kuu ya CDM watakwenda mahakamani kuomba zuio la mahakama dhidi ya uamuzi wa chama chao.Zuio hilo uenda likazuia pia mkutano wa CDM unaotarajiwa kufanyika alhamisi mjini Arusha kuzungumzia kwa namna yoyote mgogoro wa madiwani hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa na kuamuliwa na mahakama.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.