MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro juzi walitwangana makonde huku kiini kikitajwa kuwa ni gari la Mstahiki Meya. kisa cha kupigana ni ubishi juu ya nani anastahili kupanda gari hilo la Meya ( mwananchi ..25/10/2012.
MATOKEO YA M4C HAYO WANAGOMBANI KUPANDA GARI YA MEYA ...JE MKICHUKUA NCHI SI MTAGOMBANIA WOTE MKAKAE IKULU
Sasa hapo nini cha ajabu yaani umepoteza muda wako wote kuleta U..sh..uzi huu ati watu wajadili si bora Ungeandika kuhusu waziri wenu aliyesema ati Tanzania ilipata Uhuru mwaka 11964 na imeunganishwa na Pemba na Zimbabwe hapo tungekuelewa sana tu.