Wanajf,
Kwa takribani kwa miaka mitano iliyopita Manispaa ya Moshi imekuwa kinara wa miji misafi kabisa kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Jambo la kushangaza ni kwamba sheria ndogo ndogo zilizokuwa zimepitishwa na ambazo zilisaidia sana kuweka mji kwenye hali ya usafi zimeondolewa na madiwani wa Chadema kwa kisingizio ya kwamba ni sheria kanadamizi.
Kutokana na kufutwa kwa sheria husika kwa nguvu ya madiwani wa CHADEMA mji wa moshi kwa sasa umepoteza sifa ya kuwa mji msafi kuliko miji yote hapa Tanzania.
Kwa takribani kwa miaka mitano iliyopita Manispaa ya Moshi imekuwa kinara wa miji misafi kabisa kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki.
Jambo la kushangaza ni kwamba sheria ndogo ndogo zilizokuwa zimepitishwa na ambazo zilisaidia sana kuweka mji kwenye hali ya usafi zimeondolewa na madiwani wa Chadema kwa kisingizio ya kwamba ni sheria kanadamizi.
Kutokana na kufutwa kwa sheria husika kwa nguvu ya madiwani wa CHADEMA mji wa moshi kwa sasa umepoteza sifa ya kuwa mji msafi kuliko miji yote hapa Tanzania.