Madiwani wa CCM wakimbia kikao Arusha

Madiwani wa CCM wakimbia kikao Arusha

I doubt kama mleta mada anauhakika na alichokisema,ninavyowajua MACCM,sio rahisi kuweka mpira kwapani wanajisemea kila siku wao ndo wenye nchi,mkurugenzi ameletwa na wao sasa watakimbiaje kikao?pls try to get more info on this,otherwise will termed this as a mere allegation

Duh! Uwanja wako, Marefa wako, Mashabiki wako, Sheria upange wewe, Ila kukimbia ukimbie wewe. Majanga!

Note!
Hawajaweka Mpira kwapani, walichofanya ni Kutia Timu Uwanjani. Waliobakia wanweza kaamua kufanya Mazoezi baada ya kupewa ushindi wa mezani yano Pointi Tatu na Magoli wawili.
 
mkuu kumbe inakuuma sana kwenye moyo wako pole bwana vumilia

Tehetehetehe! Sasa nifanyeje mkuu, wahuni wachache wameamua kuchezea mustakabali wa Taifa letu. Katiba mpya si jambo dogo hata kidogo.
 
wasiwasi wangu ni kwamba Serikali inaweza ikamuhamisha huyu mkurugenzi kwasababu wanaona ni mwiba kwa CCM.

Mie pia nshaanza kuhisi hivyo mkuu !ccm huwa hawamwachi yeyote anaeingilia maslahi yao...huyu mama kama ataachwa tushukuru Mungu! Ila kwa kweli anafanya kazi nzuri sana
 
MAccm Arusha walishakufa zamzni sana hii ni hitimisho tu
 
mkuu mleta mada hawa makokoi (mapanya) wa Lumumba umewapiga stop kuchaingia hii thiredi au ni vipi?
 
Haohao waliobaki wafanye maamuzi ya dhumuni la kikao hicho kama walivofanya wabunge wa CCM na Lyatonga Mrema kuhusiana na rasimu ya katiba mpya hivi majuzi. Jino kwa jino!

Kama akidi imekidhi, waendelee na kikao na watoe maamuzi. Au akidi inaangaliwa kwa magamba peke yake?
 
Wadau,
Kuna mvutano mkubwa sana kwenye kikao cha baraza la madiwani,baada ya meya na madiwani wa ccm kususia kikao na kutoka nje,kwa madai kuwa Mkurugenzi anawadharau,sasa wamebaki madiwani wa CHADEMA na TLP.

MAKINDA wa Arusha na Ndugai wake wametimuwa mbioo.
 
siyo wakimbie kikao tu , waukimbie hadi udiwani wenyewe , vinginevyo tutawakimbiza .
 
CCM wameanza mazoezi ya upinzani siku hizi wao ndio wanaolalamika,

eti tozo la kadi ya simu linawaumiza wananchi wakati wao ndio waliopitisha bungenii, eti Kinana analalamika kwa nini walimu hawalipwi, wamemsusia mwenyekiti wa tume ya Katiba, na leo wamesusia kikao mwisho watakuja kususia uchaguzi...na bado.
 
Mimi nipo Arusha na najikubali kwa sababu mapinduzi yakweli yataanzia Arusha.

Naichukia ccm sana.
Weweeeee! Acha kujifagilia peke yako, kama ungekua sio mbinafsi ungesema mapinduzi ya kweli yataanzia Mbeya au Arusha. Maana miji hii ndiyo iliyo na watu wasiokuwa tayari kupelekeshwa hovyhovyo na maccm.
 
mkuu mleta mada hawa makokoi (mapanya) wa Lumumba umewapiga stop kuchaingia hii thiredi au ni vipi?
Ndugu yangu weeeee! wamefura, limoja limejaru kuchangia kuwa wamekimbia baada ya CHADEMA kuanzisha ngumi, likajibiwa kwa logic likaweka mpira kwapani kama madiwa wao kule Arusha
 
Kazi nzuri cdm, kazi nzuri mkurugenzi!
ccm sasa ni chama cha upinzani Arusha!
 
Ni kweli maccm wamekimbia,kwa hoja kuwa Mkurugenzi anamdharau meya wa kichina

Mkuu Nanyaro Ephata, haya maneno aliyosema Obama naona yamelingana na hali ya Arusha kabisa.
ImageUploadedByJamiiForums1380963662.799914.jpg
 
Last edited by a moderator:
Nuru yaanza kuwaangazia Tz. taratibu, kwani sasa ni zamu ya maccm kuweka mpira kwapani Arusha wanaanza kupoteza matumaini taratibu.
Aaaa kumbe kuteas kwa zamu, nimeelewa.
 
Wadau,
Kuna mvutano mkubwa sana kwenye kikao cha baraza la madiwani,baada ya meya na madiwani wa ccm kususia kikao na kutoka nje,kwa madai kuwa Mkurugenzi anawadharau,sasa wamebaki madiwani wa CHADEMA na TLP.

Hii kali! Duh! CCM nao wameanza kukimbia vikao!!!! Ipo siku tutamwona Ndugai na Makinda wakikacha wakilitelekeza bunge!
 
Wadau,
Kuna mvutano mkubwa sana kwenye kikao cha baraza la madiwani,baada ya meya na madiwani wa ccm kususia kikao na kutoka nje,kwa madai kuwa Mkurugenzi anawadharau,sasa wamebaki madiwani wa CHADEMA na TLP.
leo magamba wanafanya kile wanachopinga siku zote? teh teh teh!!!!....
 
Back
Top Bottom