Mama Spora Liana ni kiboko ya mafisadi....
Ni kweli maccm wamekimbia,kwa hoja kuwa Mkurugenzi anamdharau meya wa kichina
kama CHADEM walivyoweka kwapan mpira wa katiba mpya
Sasa diwani wa cdm,Nanyaro anatoa hoja kuwa kikao kiendelee,kwa kuteua mwenyekiti wa muda,anasema Arusha haijawai kuwa na Meya,na Gaudance ni hopeless
Ni kweli maccm wamekimbia,kwa hoja kuwa Mkurugenzi anamdharau meya wa kichina
Au chadema walianza kupigana nini make wao hoja yao siku zote ni kupigana kwenye vikao.
I doubt kama mleta mada anauhakika na alichokisema,ninavyowajua MACCM,sio rahisi kuweka mpira kwapani wanajisemea kila siku wao ndo wenye nchi,mkurugenzi ameletwa na wao sasa watakimbiaje kikao?pls try to get more info on this,otherwise will termed this as a mere allegation
Kwa muda mrefu Meya wa kichina amekuwa akifisadi fedha za Halimashauri,rejea uzinduzi wa jiji,pia mchina amewekwa mfukoni na baadhi ya wafanyabiashara na hivyo hataki vikao ili asije kuumbuliwa kwenye vikao