Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wadau,
Kuna mvutano mkubwa sana kwenye kikao cha baraza la madiwani,baada ya meya na madiwani wa ccm kususia kikao na kutoka nje,kwa madai kuwa Mkurugenzi anawadharau,sasa wamebaki madiwani wa CHADEMA na TLP.
Kuna mvutano mkubwa sana kwenye kikao cha baraza la madiwani,baada ya meya na madiwani wa ccm kususia kikao na kutoka nje,kwa madai kuwa Mkurugenzi anawadharau,sasa wamebaki madiwani wa CHADEMA na TLP.