Madiwani hawa hawafai hata kidogo

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Halmashauri ya Morogoro vijijini imekuwa haiishiwi vituko, baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimegundua kuwa tatizo lipo kwa madiwani wao.Wamekuwa wakikiuka taratibu za utumishi bila kujali athari za kiutendaji na tija ya mfanyakazi kwa ujumla.

Mathalani katika kipindi cha miaka miwili madiwani hawa wamemshinikiza AFISA ELIMU SEKONDARI kuwa demote wakuu wa shule 15 bila sababu za msingi na mbaya zaidi wanaachwa katika vituo vyao vilevile vya zamani, Je,wanategemea walimu hawa watafanyakazi yenye tija kweli? kama kuna makosa serious wamefanya ni bora wafukuzwe kazi kuliko kuwapa mateso ya kisaikolojia.

Lakini pili hawa walimu kimsingi hawata kuwa na tija tena darasani,kama siyo kuwakomoa na visasi vya kisiasa ni nini?? HUYU AFISA ELIMU SEKONDARI NAE AMULIKWE kwani wila yake imekuwa na matokeo mabaya ya kidato cha nne kila mwaka sababu kila kukicha anawaza namna ya ku implement fitna za wana siasa badala ya kufanyakazi.

USHAURI WANGU

Madiwani wajengewe uwezo wa namna ya kusimamia maendeleo katika maeneo yao lakini wazingatie sheri,kanuni na taratibu za utumishi wa umma,pia watambue kuwa mahali pasipo na utulivu na amani hakuna maendeleo.
 
Halmashauri ya Morogoro vijijini imekuwa haiishiwi vituko.baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimegundua kuwa tatizo lipo kwa madiwani wao.wamekuwa wakikiuka taratibu za utumishi bila kujali athari za kiutendaji na tija ya mfanyakazi kwa ujumla.mathalani katika kipindi cha miaka miwili madiwani hawa wamemshinikiza AFISAELIMU SEKONDARI kuwa demote wakuu wa shule 15 bila sababu za msingi na mbaya zaidi wanaachwa katika vituo vyao vilevile vya zamani, Je,wanategemea walimu hawa watafanyakazi yenye tija kweli? kama kuna makosa serious wamefanya ni bora wafukuzwe kazi kuliko kuwapa mateso ya kisaikolojia.Lakini pili hawa walimu kimsingi hawata kuwa na tija tena darasani.kama siyo kuwakomoa na visasi vya kisiasa ni nini??HUYU AFISAELIMU SEKONDARI NAE AMULIKWE kwani wila yake imekuwa na matokeo mabaya ya kidato cha nne kila mwaka sababu kila kukicha anawaza namna ya ku implement fitna za wana siasa badala ya kufanyakazi.
USHAURI WANGU
madiwani wajengewe uwezo wa namna ya kusimamia maendeleo katika maeneo yao lakini wazingatie sheri,kanuni na taratibu za utumishi wa umma.pia watambue kuwa mahali pasipo na utulivu na amani hakuna maendeleo/

Hivi mdiwani wanajua kweli hata jinsi shughuli za elimu zinavyoendeshwa au wanakurupuka tu?
 
Hivi mdiwani wanajua kweli hata jinsi shughuli za elimu zinavyoendeshwa au wanakurupuka tu?
wapo wachache wanajua ila walio wengi hawana ufahamu wa kutosha. Ni wajibu wa serikali kuwajengea uwezo ili ku balance mambo. ninavyoona mimi baadhi ya watendaji serikalini hasa wanao karibia kustaafu wanapokea kila kitu kutoka kwa madiwani bila kupembua mambo kwa faida ya serikali na umma wa atanzania kwa ujumla.HAIWEZEKANI UKUBALI KUM DEMOTE MKUU WA SHULE HALAFU UNAMWACHA KITUO KILEKILE,HUMTAKII MEMA MKUU MPYA.VILEVILE UNA MWATHIRI KISAIKOLOJIA HUYU ULIYE M DEMOTE,JE ANGEKUWA YEYE ANGEJISIKIAJE?
 
Wakulaumiwa ni hao maafisa elimu kutojua wajibu wao, kama wataalamu hawapaswi kufanya kazi kwa kukurupuka. Wanatakiwa kuwaeleza ukweli hao madiwani. Mara nyingi siku hizi maafisaelimu wanateuliwa kwa fadhila na si uwezo wao wa kazi! Kawaida siasa inatakiwa itumikie utaalamu na si utaalamu kuitumikia siasa!
 
Back
Top Bottom