JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Halmashauri ya Morogoro vijijini imekuwa haiishiwi vituko, baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimegundua kuwa tatizo lipo kwa madiwani wao.Wamekuwa wakikiuka taratibu za utumishi bila kujali athari za kiutendaji na tija ya mfanyakazi kwa ujumla.
Mathalani katika kipindi cha miaka miwili madiwani hawa wamemshinikiza AFISA ELIMU SEKONDARI kuwa demote wakuu wa shule 15 bila sababu za msingi na mbaya zaidi wanaachwa katika vituo vyao vilevile vya zamani, Je,wanategemea walimu hawa watafanyakazi yenye tija kweli? kama kuna makosa serious wamefanya ni bora wafukuzwe kazi kuliko kuwapa mateso ya kisaikolojia.
Lakini pili hawa walimu kimsingi hawata kuwa na tija tena darasani,kama siyo kuwakomoa na visasi vya kisiasa ni nini?? HUYU AFISA ELIMU SEKONDARI NAE AMULIKWE kwani wila yake imekuwa na matokeo mabaya ya kidato cha nne kila mwaka sababu kila kukicha anawaza namna ya ku implement fitna za wana siasa badala ya kufanyakazi.
USHAURI WANGU
Madiwani wajengewe uwezo wa namna ya kusimamia maendeleo katika maeneo yao lakini wazingatie sheri,kanuni na taratibu za utumishi wa umma,pia watambue kuwa mahali pasipo na utulivu na amani hakuna maendeleo.
Mathalani katika kipindi cha miaka miwili madiwani hawa wamemshinikiza AFISA ELIMU SEKONDARI kuwa demote wakuu wa shule 15 bila sababu za msingi na mbaya zaidi wanaachwa katika vituo vyao vilevile vya zamani, Je,wanategemea walimu hawa watafanyakazi yenye tija kweli? kama kuna makosa serious wamefanya ni bora wafukuzwe kazi kuliko kuwapa mateso ya kisaikolojia.
Lakini pili hawa walimu kimsingi hawata kuwa na tija tena darasani,kama siyo kuwakomoa na visasi vya kisiasa ni nini?? HUYU AFISA ELIMU SEKONDARI NAE AMULIKWE kwani wila yake imekuwa na matokeo mabaya ya kidato cha nne kila mwaka sababu kila kukicha anawaza namna ya ku implement fitna za wana siasa badala ya kufanyakazi.
USHAURI WANGU
Madiwani wajengewe uwezo wa namna ya kusimamia maendeleo katika maeneo yao lakini wazingatie sheri,kanuni na taratibu za utumishi wa umma,pia watambue kuwa mahali pasipo na utulivu na amani hakuna maendeleo.