Madirisha aluminium yanahitajika 5ft*5ft

Madirisha aluminium yanahitajika 5ft*5ft

mkuu kwa bei hiyo utapigwa
kama unataka dirisha zuri sio chini ya 240000 kwa moja.

kioo mm5 na chuma nzuri sio za kichina

mim nilitengeneza kwa 240000 kwa ukubwa huo
 
mkuu kwa bei hiyo utapigwa
kama unataka dirisha zuri sio chini ya 240000 kwa moja.

kioo mm5 na chuma nzuri sio za kichina

mim nilitengeneza kwa 240000 kwa ukubwa huo
Sure mkuu hata mimi nimemshauri maana mimi hizi mambo zangu kuna watu wanajifanya wako cheap akishapewa ela anagundua kazi haiwezekani fanyika anaingia mitini.
 
Mm langu lipo moja lipo ndani tu halina kazi, nyumba mpya ilijengwa yakanunuliwa mengi yakatumika moja likabaki

Ila kwakusema fundi akutengenezee mapya kabisa kwa bei hiyo hawezi kupata
 
Kwa hiyo bei huwezi kupata utapigwa hela na utafungiwa material za mchina na kioo utawekewa MM.3

wabongo mnapenda vitu vizuri ila uwezo navyo hamna

weka mimbao midirisha hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom