Madini

Madini

MansaMusa

Senior Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
103
Reaction score
13
Habari ndugu wajasiliamali wenzangu.
Nataka nifahamishwe jana kuna sehemu nilienda ni porini na nikaona Mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto.
Na pia ndani ya maji ya huo mto kuna chembe ndogondogo kama mchanga nazo zinang'aa kweli. Je kuna uwezekano wa uwepo wa mgodi maeneo hayo.
Mchango wa mawazo kwa wenye utaalamu wa miamba.
 
Habari ndugu wajasiliamali wenzangu.
Nataka nifahamishwe jana kuna sehemu nilienda ni porini na nikaona Mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto.
Na pia ndani ya maji ya huo mto kuna chembe ndogondogo kama mchanga nazo zinang'aa kweli. Je kuna uwezekano wa uwepo wa mgodi maeneo hayo.
Mchango wa mawazo kwa wenye utaalamu wa miamba.
eneo gani hilo...au rusha picha mawe meupe ni mengi
 
eneo gani hilo...au rusha picha mawe meupe ni mengi

Picha sikufanikiwa kupiga ila ni meupe xana kama uonavyo karatasi nyeupe, na yapo maeneo ambayo hapana milima wala mawe aina nyingine.
 
Habari ndugu wajasiliamali wenzangu.
Nataka nifahamishwe jana kuna sehemu nilienda ni porini na nikaona Mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto.
Na pia ndani ya maji ya huo mto kuna chembe ndogondogo kama mchanga nazo zinang'aa kweli. Je kuna uwezekano wa uwepo wa mgodi maeneo hayo.
Mchango wa mawazo kwa wenye utaalamu wa miamba.

Sio madini hayo, ningekwambia ni lubi but hata lubi hazikai ktk hayo mazingira uliyosema
 
Sio madini hayo, ningekwambia ni lubi but hata lubi hazikai ktk hayo mazingira uliyosema

kwa nini umekimbilia kwenye ruby mkuu, kuna mawe aina nyingi mno mkuu! IBN HACKER naona jiografia ullikuwa unaichukia sana secondary, maana umeshindwa kutoa hata maelezo ya namna mawe hayo yalivyo!! Unaposema meupe, je unamaanisha transparent au weupe kama shati la shule? Halafu muonekano wake ukoje? kwa haraka haraka mtu anaweza kusema qualtz au glaas, au hata aqua marine! Na hivyo vya kung'aa majini ni vya rangi na umbo gani? Siku nyingine picha muhimu, au unachukua sample kadhaa! Tanzania hii imejaa madini ya kila aina.
 
Last edited by a moderator:
niambie sehemu gani ili nitume vijana wa kazi harafu wewe tutakupa jibu wakishakagua.
 
Habari ndugu wajasiliamali wenzangu.
Nataka nifahamishwe jana kuna sehemu nilienda ni porini na nikaona Mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto.
Na pia ndani ya maji ya huo mto kuna chembe ndogondogo kama mchanga nazo zinang'aa kweli. Je kuna uwezekano wa uwepo wa mgodi maeneo hayo.
Mchango wa mawazo kwa wenye utaalamu wa miamba.

mkuu hiyo ni quarts. siku ukiona mawe mekundu au ya kijani, ni pm mara moja.
 
nahisi utakuwa umeona quartz ila kachukue picha tuwekee tukusaidie
 
Back
Top Bottom