Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Status
Not open for further replies.
kabila01

sasa hii MoU inafanya nini? misaada yote si tunapewa na serikali!!! mbona hatuna shukrani jamani?? hii CHADEMA ishaanza kutuharibia KANISA hawa ni Uhamusho tu ni wale wale.

Hao ni wahuni tu wala siyo MoU
 
Mkuu inasemekana kuwa alitishia kufuta misaada pale baada ya ufisadi uliokithiri ndipo SIRIkali ikang'amua hakuna DINI ila ni usanii mtupu.

Kwenye hii katiba mpy itabidi iwe clear tufute misamaha ya kodi etc kama hawajawa kasheshe mitaani.

Mimi huwa nampongeza sana Slaa aliona mbali sana kukimbilia kwenye siasa.

Hiv inawezekana tatizo lilianza pale ulipotokea mzozo wa taasisi za dini juu ya kodi ya mapato?mhh tutasikia mengi.
 
Hii habari nimeisoma kwenye gazeti ya Mawio nikashtuka siyo kidogo ila sana. Naona kama hili siyo jambo dogo. Sababu walizotoa ni kwamba watu wanauliwa lakini hakuna follow-up yo yote. Sababu nyingine ni kwamba makada wa CCM wadai wao wako Chadema. Hata kama wengine watatukana ni kwamba siasa za maji taka ndizo zimewafikisha hapa. Wako viongozi ambao kila kukicha wanadai Chadema ni chama cha kanisa. Lakini wakati uo huo wako Wakristo kibao kwenye vyama vingine hata kile cha CUF ingawa kiongozi wake anatangaza hicho ha kwake ni cha Kiislamu. Sasa nini kifanyike? Nashauri wasilete mtafaruku zaidi bali itafutwe njia nyingine ya kuleta muafaka. Hivi kuna raha gani tunapoangalia yanayotokea Syria? Watu kibao wanakufa na wanaendelea kufa huko Nigeria, Mali na kwingineko. Aidha, maelfu kwa maelfu huko kaskazini mwa Uganda wamekufa na pengine wanaendelea kufa. Mimi ninaogopa. Ninaomba tusishabikie hili si jambo la kufurahisha ika ni la kusikitisha sana. Njia sahihi za kuondoa huu udini ambao umeanza kuota mizizi zitafutwe. Isionekane kama kuna dini iliyo juu ya nyingine. Nafahamu wako wachangiaji watakaotukana kama ilivyo jadi yao. Sitajali kwa kuwa hayo ni malezi na wala siyo makosa yao.

tutawaalika viongozi wetu wa chadema
 
Ikivunjwa MoU itakua poa sana mashule yote yaliyokua chini ya kanisa yarudishwe, hospitali zote teule za wilaya (DDH) zirudi mikononi mwa kanisa. Serikali ibaki na shule zake za kata, na hospitali moja tu ya Muhimbili. Waraka wa wakristo uliosomwa siku ya X-mass uliitaka serikali iweke wazi MOU kwa wananchi na serikali imeshindwa kufanya hivyo mpaka Leo. tunaomba hiyo MOU ivunjwe kabisa Nina hamu kubwa sana ya kuoana shule zetu Kama Pugu, Tosamaganga, Iringa Girls, Kigonsera, Bwiru na nyingine nyingi tu zikirudi mikononi mwa kanisa

Tumeyaona Mawio,tunasubiri Machweo.
 
Mkuu inasemekana kuwa alitishia kufuta misaada pale baada ya ufisadi uliokithiri ndipo SIRIkali ikang'amua hakuna DINI ila ni usanii mtupu.

Kwenye hii katiba mpy itabidi iwe clear tufute misamaha ya kodi etc kama hawajawa kasheshe mitaani.

Mimi huwa nampongeza sana Slaa aliona mbali sana kukimbilia kwenye siasa.

Pongezi hizi kampe aliyekuwezesha uone jua.
 
Mbona hawakumtenga mkapa na serikali yake alipowaua raia wasiokua na hatia mwembechai au nyerere alipokua akiwaweka kizuizini,kuwafunga watu aliokua akipishana nao mtizamo?wakati wakimshutumu JK na ccm kwa ufisadi makanisa hayo hayo yanawaalika mafisadi makuu kina lowasa kuchangia pesa ilhali wanajua za wizi,kanisa litulie liache kuingilia siasa linashusha heshima yake na hizi doublestandards!!
 
Hii habari nimeisoma kwenye gazeti ya Mawio nikashtuka siyo kidogo ila sana. Naona kama hili siyo jambo dogo. Sababu walizotoa ni kwamba watu wanauliwa lakini hakuna follow-up yo yote. Sababu nyingine ni kwamba makada wa CCM wadai wao wako Chadema. Hata kama wengine watatukana ni kwamba siasa za maji taka ndizo zimewafikisha hapa. Wako viongozi ambao kila kukicha wanadai Chadema ni chama cha kanisa. Lakini wakati uo huo wako Wakristo kibao kwenye vyama vingine hata kile cha CUF ingawa kiongozi wake anatangaza hicho ha kwake ni cha Kiislamu. Sasa nini kifanyike? Nashauri wasilete mtafaruku zaidi bali itafutwe njia nyingine ya kuleta muafaka. Hivi kuna raha gani tunapoangalia yanayotokea Syria? Watu kibao wanakufa na wanaendelea kufa huko Nigeria, Mali na kwingineko. Aidha, maelfu kwa maelfu huko kaskazini mwa Uganda wamekufa na pengine wanaendelea kufa. Mimi ninaogopa. Ninaomba tusishabikie hili si jambo la kufurahisha ika ni la kusikitisha sana. Njia sahihi za kuondoa huu udini ambao umeanza kuota mizizi zitafutwe. Isionekane kama kuna dini iliyo juu ya nyingine. Nafahamu wako wachangiaji watakaotukana kama ilivyo jadi yao. Sitajali kwa kuwa hayo ni malezi na wala siyo makosa yao.

Mungu akuongoze.katika hili hakutokuwa mshinda wa mshindwa.si jambo lenye afya hata kidogo,
 
''Religion is an opium to the poor'' Karl Max
 
Hawana kazi ya kufanya hao! Nisawa nakutishia kujamba wakati unaharisha kanisa lenyewe linaendeshwa na serkali alaftena kanisa hilohilo linataka kuisusa serkali? Wajaribu kama hawajafunga Hospital na mashule yao.


Naona unajidanganya,kanisa hata siku moja haliwezi ongozwa na serikali,na tambua endapo watadhamiria hivyo basi serikali itakua na wakati mgumu sana wa kutoa huduma stahiki kwa raia,kuna mahali ukienda ni ngumu kukuta huduma ya afya ila ni kanisa ndo limepeleka tiba huko na wananchi wanasaidiwa na hospitali hizo za dini,usijidanganye hata kidogo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom