Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Status
Not open for further replies.
Wamechelewa sana maana nilishashangaa viongozi wasomi wenye uelewa mkubwa kiasi hicho wasingenyamaza kiasi hicho wakati wanapakaziwa kukibeba chama fulani. Sasa liwalo na liwe tangazeni wazi tujiondoe mara moja.
 
Nasikia KCMC ina hali mbaya baada ya JK kusitisha maruzuku...ngoja zitajifunga tu.
Hawana kazi ya kufanya hao! Nisawa nakutishia kujamba wakati unaharisha kanisa lenyewe linaendeshwa na serkali alaftena kanisa hilohilo linataka kuisusa serkali? Wajaribu kama hawajafunga Hospital na mashule yao.
 
Nasikia KCMC ina hali mbaya baada ya JK kusitisha maruzuku...ngoja zitajifunga tu.

Mkuu inasemekana kuwa alitishia kufuta misaada pale baada ya ufisadi uliokithiri ndipo SIRIkali ikang'amua hakuna DINI ila ni usanii mtupu.

Kwenye hii katiba mpy itabidi iwe clear tufute misamaha ya kodi etc kama hawajawa kasheshe mitaani.

Mimi huwa nampongeza sana Slaa aliona mbali sana kukimbilia kwenye siasa.
 
Tatizo letu wakatoliki hatubebeki wala hatuna shukrani, Nchi hii Nyerere kaiongoza miaka yote na kuwafanya wakatoliki ndio wenye hati miliki ya Tanzania, kaja Mkapa kafanya hayo hayo, mabilioni ya serikali ya walipa kodi kutoka serikalini wanapewa kanisa ila shukrani hawana, leo eti wanaisusia serikali sasa pesa za serikali (MOE) wanazopewa wasichukue tena, na ule mkataba wa nyerere aliotiliana saini na roman katoliki ufutwe pia pesa hizi ziekezwe katika miundo mbinu. hayo matokeo ya ugaidi yanafanywa na kupangwa na wao wenyewe kanisa halafu kuipa mzigo serekali. hawa watu wabaya sana wanaotaka kuligawa taifa kwa maslahi yao.
 
Leo nikiwa kijiweni kwangu hapa Ng'ambo Tabora..mtaa wa Kiyungi-(Asante kwa Air Tanzania mana tunapata sasa magazeti ya leoleo).. Nimepitia Gazeti la Mawio,moja ya habari kubwa ni Mkutano wa Jukwaa la Wakristo chini ya U/kiti wa Askofu Ngalalekumtwa(TEC).

Askofu Kitula(CCT) na Askofu Batenzi(PCT) Kwamba ifikapo 1 Julai,kanisa liwatangazie waumini kuwa wao wamesitisha uhusiano na serikali,yaani kutowaalika viongozi wa serikali ktk shughuli za kanisa,na wao viongozi wa kanisa kutohudhuria pale wanapoalikwa na Serikali...

Viongozi hao wamesema Serikali imeshndwa kuchukua hatua kwa madai mengi,kama vile "baadhi ya wanasiasa wa chama tawala wamediriki kulieleza Bunge kwamba Chadema ni chama cha Wakristo".....pia kitendo cha Usalama wa Taifa kufanya njama na kumwambia Pengo kuwa mlipuko wa Arusha ni tukio la Kigaidi hata kabla ya uchunguzi...kwa utamu zaidi Gazeti la Mawio la leo.....

My Take: Je kitendo hiki ni suluhu kwa mustakabari wa Taifa?
kama wananchi wa nchi hii wangekuwa makini Wakiristo na waislamu kwa pamoja wanatakiwa kuitenga serikali hii ya ccm
 
#Barafu ; well done umetimiza wajibu wako fanya kazi uishi.. ila angalia impact ya kazi yako, kwa nchi masikini kama Tanzania I think we need to focus on maendeleo, hivi matokeo haya ya form 4 hakuna nduguyo amekuwa victim??
Think aloud!

Gazeti la Mawio..si mimi
 
Wakithubutu tunavunja MoU kama hawajafa na NJAA.

Ikivunjwa MoU itakua poa sana mashule yote yaliyokua chini ya kanisa yarudishwe, hospitali zote teule za wilaya (DDH) zirudi mikononi mwa kanisa. Serikali ibaki na shule zake za kata, na hospitali moja tu ya Muhimbili. Waraka wa wakristo uliosomwa siku ya X-mass uliitaka serikali iweke wazi MOU kwa wananchi na serikali imeshindwa kufanya hivyo mpaka Leo. tunaomba hiyo MOU ivunjwe kabisa Nina hamu kubwa sana ya kuoana shule zetu Kama Pugu, Tosamaganga, Iringa Girls, Kigonsera, Bwiru na nyingine nyingi tu zikirudi mikononi mwa kanisa
 
Mbona arusha wameumbuko,mpaka ilimlazimu pengo mwenyewe aingilie kati na kusema lile tukio wasilaumiwe waislam kwani mwenyewe kwa taarifa alizopata ni wakristo wenyewe wamehusika,haya ni nani aliyekamatwa?ni aibu kweli ,watu mbio mbio wanakimbilia namanga kuwakamata waarabu waliokuja Tz kutembea kwa kufuata taratibu halali kana kwamba hakuna wazungu waliopita pale mpakani.

Lengo arusha halikutumia,walikusudia wakamatwa waislam kwa kuhusishwa na matukio yaliyotengenezwa na wao wenyewe.
Hata serikali imeshituka sasa kumbe huu mchezo unachezwa na wenyewe ili wapakaziwe waislam.Kwa mtindo huu mtamalizana wenyewe kwa wenyewe na waislam watazidi kupata tu.

Eti waitenge serikali,pesa watapata wapi?
 
imeshondwa kueka wazi mana na waislamu watataka wapewe mabilioni ya pesa kama tunayopewa sisi
 
Hii habari nimeisoma kwenye gazeti ya Mawio nikashtuka siyo kidogo ila sana. Naona kama hili siyo jambo dogo. Sababu walizotoa ni kwamba watu wanauliwa lakini hakuna follow-up yo yote. Sababu nyingine ni kwamba makada wa CCM wadai wao wako Chadema. Hata kama wengine watatukana ni kwamba siasa za maji taka ndizo zimewafikisha hapa. Wako viongozi ambao kila kukicha wanadai Chadema ni chama cha kanisa. Lakini wakati uo huo wako Wakristo kibao kwenye vyama vingine hata kile cha CUF ingawa kiongozi wake anatangaza hicho ha kwake ni cha Kiislamu. Sasa nini kifanyike? Nashauri wasilete mtafaruku zaidi bali itafutwe njia nyingine ya kuleta muafaka. Hivi kuna raha gani tunapoangalia yanayotokea Syria? Watu kibao wanakufa na wanaendelea kufa huko Nigeria, Mali na kwingineko. Aidha, maelfu kwa maelfu huko kaskazini mwa Uganda wamekufa na pengine wanaendelea kufa. Mimi ninaogopa. Ninaomba tusishabikie hili si jambo la kufurahisha ika ni la kusikitisha sana. Njia sahihi za kuondoa huu udini ambao umeanza kuota mizizi zitafutwe. Isionekane kama kuna dini iliyo juu ya nyingine. Nafahamu wako wachangiaji watakaotukana kama ilivyo jadi yao. Sitajali kwa kuwa hayo ni malezi na wala siyo makosa yao.
 
Hilo ndilo suluhu,serikali si haina dini!Naunga mkono kutoalikana!
 
Mkuu barafu , Julai 1 Mbona Mbali sana, mie ujumbe wao nimeshaupokea Tayari.
Mie na Familia Yangu tutakuwa wanachama hai wa CDM, hii itaisaida Kuwaondolea Dhambi Magamba ambayo Kila siku ya hubiri Uongo kuwa Wa Kristo wote ni CDM.
So next time yakihubiri kuwa wakristo wote ni CDM, Hatakuwa yanapata Dhambi ya Kusema Uongo coz huo ndo utakuwa ukweli wenyewe tofauti na Sasa

viongozi ccm wanayosemakweli cdm wasilam hawafiki viongoz1o vio gozz
 
Last edited by a moderator:
watu hawauliwi wanawauwa wenyewe tumeishi miaka mingi tu mambo haya yalikua hayapo kabisa
 
Hata mimi nimesoma ile article,nimestuka na kushangaa, nasubiri hiyo siku tukiwa ibadani kusikia hiyo kauli ya kurudisha kadi za ccm ikitoka kwa mchungaji wangu,binafsi nachukizwa sana na kauli hii ya wana ccm kuwa cdm ni chama cha wakristo hata sijui huwa wanamaanisha nini lkn kwa tamko hili la viongozi wa kanisa nadhani watafakari upya au muandishi ameweka yake......nasubiri hilo tamko kanisani.
 
Hii habari nimeisoma kwenye gazeti ya Mawio nikashtuka siyo kidogo ila sana. Naona kama hili siyo jambo dogo. Sababu walizotoa ni kwamba watu wanauliwa lakini hakuna follow-up yo yote. Sababu nyingine ni kwamba makada wa CCM wadai wao wako Chadema. Hata kama wengine watatukana ni kwamba siasa za maji taka ndizo zimewafikisha hapa. Wako viongozi ambao kila kukicha wanadai Chadema ni chama cha kanisa. Lakini wakati uo huo wako Wakristo kibao kwenye vyama vingine hata kile cha CUF ingawa kiongozi wake anatangaza hicho ha kwake ni cha Kiislamu. Sasa nini kifanyike? Nashauri wasilete mtafaruku zaidi bali itafutwe njia nyingine ya kuleta muafaka. Hivi kuna raha gani tunapoangalia yanayotokea Syria? Watu kibao wanakufa na wanaendelea kufa huko Nigeria, Mali na kwingineko. Aidha, maelfu kwa maelfu huko kaskazini mwa Uganda wamekufa na pengine wanaendelea kufa. Mimi ninaogopa. Ninaomba tusishabikie hili si jambo la kufurahisha ika ni la kusikitisha sana. Njia sahihi za kuondoa huu udini ambao umeanza kuota mizizi zitafutwe. Isionekane kama kuna dini iliyo juu ya nyingine. Nafahamu wako wachangiaji watakaotukana kama ilivyo jadi yao. Sitajali kwa kuwa hayo ni malezi na wala siyo makosa yao.

Huna haja ya kuogopa,wamezoea kuitumia serikali kuwakandamiza waislam,na kwa sasa waislam wameamka hawakubali tena kuteswa,kila zengwe linajibiwa,kama watataka nchi iwe kama syria itakuwa wa kupata hasara ataonekana wakati huo.Walizoea kuwatumia Bakwata kuendesha mambo yao,sasa hv bakwata kwisha habari yake,haina hata ushawishi kwa waislamu ,wamekuwa ni watu wa kwenye vyombo vya habari,hawawezi hata kuandaa kongamano lolote la kuongea na waislam zaidi ya kusubiri idd na kutangaza mwezi.
 
imeshondwa kueka wazi mana na waislamu watataka wapewe mabilioni ya pesa kama tunayopewa sisi
Mabilioni myapeleke msikitini au madrasa, maana hamkujenga mashule wala hospitali? Kila lilipokua linajengwa kanisa katoliki tulihakikisha tunajenga shule, vyuo vya ufundi na mahospitali tukijua ni mahitaji muhimu kwa binadamu. Pia mtafute mtaalamu wa afya akueleze kwa Nini waliamua kuzichukua hospitali za kanisa na kuzifanya hospitali teule za wilaya akikueleza kwa kina ndo uje hapa utoke povu ukitaka na Nyie mpewe hiyo mamilion.
 
Leo nikiwa kijiweni kwangu hapa Ng'ambo Tabora..mtaa wa Kiyungi-(Asante kwa Air Tanzania mana tunapata sasa magazeti ya leoleo).. Nimepitia Gazeti la Mawio,moja ya habari kubwa ni Mkutano wa Jukwaa la Wakristo chini ya U/kiti wa Askofu Ngalalekumtwa(TEC).

Askofu Kitula(CCT) na Askofu Batenzi(PCT) Kwamba ifikapo 1 Julai,kanisa liwatangazie waumini kuwa wao wamesitisha uhusiano na serikali,yaani kutowaalika viongozi wa serikali ktk shughuli za kanisa,na wao viongozi wa kanisa kutohudhuria pale wanapoalikwa na Serikali...

Viongozi hao wamesema Serikali imeshndwa kuchukua hatua kwa madai mengi,kama vile "baadhi ya wanasiasa wa chama tawala wamediriki kulieleza Bunge kwamba Chadema ni chama cha Wakristo".....pia kitendo cha Usalama wa Taifa kufanya njama na kumwambia Pengo kuwa mlipuko wa Arusha ni tukio la Kigaidi hata kabla ya uchunguzi...kwa utamu zaidi Gazeti la Mawio la leo.....

My Take: Je kitendo hiki ni suluhu kwa mustakabari wa Taifa?

Kwa hiyo wakijitenga na serikali? watajiunga na CHADEMA? siyo udini huo kweli? mbona wanajichanganya hivi?
 
kabila01

sasa hii MoU inafanya nini? misaada yote si tunapewa na serikali!!! mbona hatuna shukrani jamani?? hii CHADEMA ishaanza kutuharibia KANISA hawa ni Uhamusho tu ni wale wale.
 
Hata mimi nimesoma ile article,nimestuka na kushangaa, nasubiri hiyo siku tukiwa ibadani kusikia hiyo kauli ya kurudisha kadi za ccm ikitoka kwa mchungaji wangu,binafsi nachukizwa sana na kauli hii ya wana ccm kuwa cdm ni chama cha wakristo hata sijui huwa wanamaanisha nini lkn kwa tamko hili la viongozi wa kanisa nadhani watafakari upya au muandishi ameweka yake......nasubiri hilo tamko kanisani.

sasa ndo wanataka kukimaliza kabisa chama hiki cha CHADEMA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom