Madhara ya ulevi

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,229
Naomba mnisaidie kunielewesha,kuna baadhi ya walevi unakuta amevimbiwa mashavu yaani unaona kama kuna dalili
flani ambayo siyo ya kawaida,je hiyo inatokana na nini ??
 
Naomba mnisaidie kunielewesha,kuna baadhi ya walevi unakuta amevimbiwa mashavu yaani unaona kama kuna dalili
flani ambayo siyo ya kawaida,je hiyo inatokana na nini ??

kaka umeuliza jambo la maana.ila nikikumbuka vitu vyako kuleee kwenye jukwaa letu la utani. Nikiunganisha na hilo neno ulilotumia hapo juu"MASHAVU KUVIMBEWA" teh teh! Ngoja waje wenye nyumba watakujibu.
 
kaka umeuliza jambo la maana.ila nikikumbuka vitu vyako kuleee kwenye jukwaa letu la utani. Nikiunganisha na hilo neno ulilotumia hapo juu"MASHAVU KUVIMBEWA" teh teh! Ngoja waje wenye nyumba watakujibu.
Kaka si unajua wasomi wa arts hawajui majina ya kisayansi,kwahiyo sijui ni masharubu.
but sema kweli nimewaona watu wengine wanavimbiwa maeneo ya uso,na matibabu yake yanakwaje!ila ngoja tuwasubiri
wataalamu
 
Kaka si unajua wasomi wa arts hawajui majina ya kisayansi,kwahiyo sijui ni masharubu.
but sema kweli nimewaona watu wengine wanavimbiwa maeneo ya uso,na matibabu yake yanakwaje!ila ngoja tuwasubiri
wataalamu

japo sijakuelewa vizuri unacho maanisha kati ya kuvimbiwa = kuvimbiana? Au kuvimbiwa =kitendo cha kuvurugika tumbo kunakotokana kula kupita kiasi? Kama ni kuvimbiana mashavu hata mimi hili huwa naliona hasa kwa wale wanao tumia pombe kali na wale wanaotumia pombe za kienyeji.(mataputapu) wakati tunaendelea kusubiri ma drs,naomba unieleweshe mkuu.
 
japo sijakuelewa vizuri unacho maanisha kati ya kuvimbiwa = kuvimbiana? Au kuvimbiwa =kitendo cha kuvurugika tumbo kunakotokana kula kupita kiasi? Kama ni kuvimbiana mashavu hata mimi hili huwa naliona hasa kwa wale wanao tumia pombe kali na wale wanaotumia pombe za kienyeji.(mataputapu) wakati tunaendelea kusubiri ma drs,naomba unieleweshe mkuu.
Mkuu mi hapa namaanisha kuvimbiana mashavu,nimeona wale wanaotumia pombe kali na kienyeji kama gongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom