okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,737
Asante nzizi nkavu
Mkuu sukari ni mbaya mno endelea kutonunua
Japo nafahamu kwamba zote zina madhara katika mwili wa mwanadamu, Je kuna ufafanuzi wa kidaktari/kitaalamu kati ya kutumia sukari nyeupe na sukari ya brown? Ni ipi ina madhara zaidi?