madhara ya pombe kwenye mwili

Sunga

Member
Mar 22, 2012
89
22
Wana JF naomba nisaidieni nataka kuacha pombe ila nashndwa. halafu mbona nikinywa pombe usiku niki amka mwili wangu unakua unapungua je nimadhara gani naweza kupata baadae?
 
athari kuu ya pombe ni kuwa inaua chembe hai (cells) za ubongo. Na kwa tabia ya cells hizo, ukishakuwa mtu mzima, zikifa hakuna zinazozaliwa. Hivyo zitakuwa zinapungua tu. Hatimaye utaanza kuonesha dalili za uchizi mf. Ukali au upole usioelezeka. Ukifikia hatua hiyo, hata ukiacha pombe, huwezi tena kurudi katika hali ya kawaida. Sasa amua mapema kunyoa au kusuka.
 
Mrudie YESU mambo yote kwishne Mkuu. Dawa ya kuacha pombe ni BIBLIA
 
Back
Top Bottom