under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 258
- 376
Natumai nyote mko poa.
Mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
Je, hii ni kweli?
Je, kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA
Mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
Je, hii ni kweli?
Je, kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA